Home
Unlabelled
temu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Huyu Hoisi alikuwa miss wa mwaka gani jamani anayekumbuka?
ReplyDeleteThis comment has been removed by a blog administrator.
ReplyDeletesio 1999 kweli ila si mzuri lakini ndiye miss mwenye akili kuliko wote
ReplyDeleteHuyo hana akili kabisa huyo, alikwenda USA akawa anagombania mabwana ovyo ovyo kisha bwana mmoja aliipomgundua akamkataa Hoisi akaenda kwa huyo bwana na kujichoma kisu tumboni!
ReplyDeleteHii sio habari ya redio mbao mie binafsi niliambiwa na bwana muhusika
Bwn. Michuzi kuna picha fulani hivi uliipiga miaka ya nyumaaaa hadi ikashinda na wewe kupata tuzo ya picha ya mwaka (sikumbuki mwaka gani).
ReplyDeleteLakini picha yenyewe ilikuwa ni ya kibaka anarushwa nje ya Dala dala kupitia dirishani kama sikosei na wewe ukafotoa picha ya huyo kibaka akiwa bado hewani kabla hajatachi dauni.
Naomba kama una hiyo picha kaka uiweka hapa ukipata wakti.
Ahsante.
duuh mbona tena alienda kufanya hivyo?
ReplyDeletesasa ilikuwaje alikufa baada ya kujichoma kisu au?
maana nimeogopa!!!!!!!!!!!!!!
michuzi naomba tuwekee picha ya Emily Adolpdh yule ndi bomba kikwelikweli.
ReplyDeleteNoooo Anony 8:57pm hajakufa iliitwa ambiulensi na polisi wakamkimbiza hospitali si unajua tena nchi za watu?
ReplyDeletenafikiri alipata ushauri nasaha pia baada ya kujua alifanya hivo kwa sababu ya mambo ya kijinga
Ni kweli Emily Adolf ana sura nzuri sana, pia usisahau kutuwekea na ya Mercy Galabawa. Natanguliza shukrani.
ReplyDeleteBomba mwingine ni yule Mwanakuzi nimesahau jina lake la kwanza,alikuwa mrembo pia, tunaomba picha yake pia
ReplyDeleteMichuzi mie ukiniwekea ya Taabu Ngongoseko yeye alikuwa rani apu wa miss Tz wa kwanza kama sio wapili tangu mashindano yaaanze.
ReplyDeleteUkipata picha yake nzima ili nikione kiuno chake na bihaindi yake nitafurahi sana.
Bomba zaidi ni yule Jackline Ntuyabalwe, tuwekehe picha yake tafadhali
ReplyDeleteHuyo Tabasamu Ngongoseke ndie anayetambulika kama Lucy Kihwele siku hizi. Sio Miss tena ni jimama fulani.
ReplyDeletehapana anony emily bwana huyu jacky ni mavipodozi tuu
ReplyDeletena mercy pia bomba sana.
mimi binafsi sijaona uzuri wa huyi mnamuita jacky.
aise huyo hoyce ameleta aibu sana na lazima jamaa alikuwa mnigeria ndio watoto wanachanganyikiwa nao sana kwa mahela yao ya uwizi.
ebu anony subiri kidogo twende taratibu,
ReplyDeletehaya twende sasa: yaani alijichoma kisu kikaingia tumboni kabisa???????????
duuuuuuuuuuu
Jamaa ni wa congo ya kabila sio manaijeria. Jamaa wa kawaida sana sema ndio hivo tena kiswahili kile kibaya kibaya na lingala kidogo basi mtoto akakolea
ReplyDeletedduuh anony bora umejibu hili swali kabla sijakuuliza maana ndio nilikuwa nataka kukuuliza jamaa mkabila gani.
ReplyDeletekwa mkongo lazima adate jamaa wanatomba wale huku wanakuimbia masikioni sasa hapo ndugu yangu.
mhhhhhhhhhhhhh
Anony wa hapo juu ni emergency poison ila ameamua kujificha. Nimegundua hawezi kuandika bila angalau kutoa tusi moja
ReplyDeletewala io emergency ni mimi hapa msimsingizie kwa leo sio yeye
ReplyDeleteMimi naomba Shose Sinare, alikuwa Miss wa kwanza nafikiri, sijamsikia habari zake siku nyingi sana.
ReplyDeleteMie naona tutofautishe personal issues na public issues bado Hoice Temu ndiye Mrembo pekee Tz anayeweza kueleweka kwa aliyofanya kwa jamii ya KITZ. Tuache masuala binafsi kila mmoja wetu ana weakness zake anapokuwa gizani.
ReplyDeleteNdio annoy hapo juu,umeongea point,watu humu wanafki sana,wanapenda kuwachafua wenzao tuu ndo wanaona raha.Sio fresh jamani maanoy wenzangu.Embu mezeei basi hata kama ni kweli.Huyu binti ana mchango mkubwa sana ktk jamii ya kitz.
ReplyDeleteHalafu binadamu jiangalie kwanza wewe nafsi yako unayofanya ukiwa mitaa unayojifanya upo peke yako. Suala la privacy ni tofauti kabisa na suala la kijamii. Tuangalie michango ya mtu kwenye jamii sio kuanza kuingilia masuala binafsi hayo yapo hata wewe unayejifanya kumkandia, mtu akiweka habari zako hapa tutafunga midomo, macho, masikio na pua kwa aibu. privacy ni issue nyingine kabisa bwana tuachane nayo kama mtu anaperform kwenye jamii kinachitakiwa.
ReplyDeleteMichuzi hebu baelezee bandugu kama unafahamu yuko wapi na anafanya nini sasa..?
ReplyDeleteKinachosikitisha ni kwamba asilimia kubwa ya mamisi wetu lazima wanyoshe nywele kizungu. Hii staili imedumu kwa mabinti weusi muda mrefu sana. Sijui lini maafro na nyele za kawaida za mtu mweusi zitakuwa in
ReplyDeleteShose Sinare hakuwa Miss wa kwanza, wa kwanza alikuwa Aina Maeda
ReplyDeleteanony 7:27 ni kwamba hoyce temu hivi sasa yupo bongo, nimeongea nae jana na kanambia anaanda bonge la pati kusherehekea kumaliza kitabu na kurejea bongo kujenga taifa. kwa habari kamili stey tyuuunndd
ReplyDeleteheheh maneno hayo, michuzi nasubiri.
ReplyDeleteHa ha ha ha kweli nakubaliana na maanony mimi sasa naacha luleta mambo ya pesono humu. Lakini itaniwia vigumu kwani hawa ma miss wana turepresent ni ni pabliki figure sasa wanapofanya mambo ya aibu basi yanatugusa wote. Kama hawataki tuongelee mambo yao ya pesono basi itabidi either wasiwe ma miss au wasifanye hayo mambo ya ajabu mitaani tena nchi za watu.
ReplyDeleteUghaibuni hamna siri, hiyo habari iko na ni publiki na kila mtu anayeitaka anaweza kuipata.
eneweiz mimi nitajitahidi kuacha kutoa habari pesono lakini!
Kama Hoyce anafanya mambo mazuri na Mungu ambariki lakini asitufundishie watoto wetu mambo ya ajabu kwa jina la u miss.
Anony 3.30PM, nashukuru kwa kuongea vizuri na kuseama umeacha sasa. Na pia nashukuru kwa mchango wako kwamba ukiwa umefikia kiwango fulani kubali, Either ujieshimu kulingana na kiwango ulichofikia, au ukubaliane na yatakayo tokea. Na hilo liwe fundisho kwa wote ambao wanatutia aibu taifa letu. Vinginevyo msiwe mnajipelea huko kama mna weekneesss, make inatujumuisha watanzania wote, kama umewakilisha tanzania. Naomba kuwasilisha ushauri huwa na hekima na taadhima na kuendelea kumshukuru aliyefunga mada hapo juu.
ReplyDeleteHuyu nae mbona kajipaka vipodozi vingi sana? hebu ona huo uso na shingo vilivyo tofauti!. Aige mfano wa huyu mwenye picha chini yake.
ReplyDeleteni kweli kabisa poison sio kama yule saida lina roho mbaya mpaka immzeesha.
ReplyDeletehuyu roho yake clean
huyu ukimweka na hao mabinti wa kinyasa hapo chini ndo unaona "live", urembo feki na wa asili.
ReplyDeleteINAONEKANA MWANGA ULIKUWA MKALI ZAIDI(ANGALIA HATA NYWELE ZAONAKANA NA WEUPE KIDOGO.
ReplyDeletePicha hiihii ipo mwezi wa nne;kichwa cha habari Hoyce na Jackl.
ReplyDeleteHebu jaribu kuiangalia uone maoni yaliyotolewa huko na yaliyotolewa hapa kwa picha ileile!Ndio utagundua nini kinaendelea!
Mbona ni picha za wazamani sana,tunazo sura ambazo hatjasahau bado akina Mbiki,Angela,Mackili,Nargis,Dotto Nusurupia kwanza yuko wapi huyu,mwambie Hashimu nataka contacts zaka.Hatujasahau wakina Faraja,Nancy,Jennipher.Pls tunataka za hawa niliowataja
ReplyDelete