sehemu ya jiji la mwanza

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 12, 2006

    Michuzi, hapa panaonekana pabovu mchana. Ha haa, hebu njoo usiku uone hivyo vibanda vimewaka taa usiku, utafikiri uko Stockholm na taa za milimani. Umeleta kumbukumbu tamu. Hao jamaa wa mlimani, wakurya au washashi (watu wa msoma) ndio waliovamia hiyo milima. Sanitation ni mbovu huko, lakini watu wanabanana tu. Mvua ikinyesha, kinyesi kinashuka kutoma mlimani mpaka....ngoja niache.manake kipindupindu hicho.samahani kama mnakula.

    ReplyDelete
  2. Jamani mmeona ile sinema ya Darwin's Nightmare! Yaani nchi yetu inanyonywa hivi hivi na hao kupe wa kizungu! Na sehemu kubwa imepigwa Mwanza! Yaani unaweza kulia! Serikali haiwezi kuingilia!

    Au tatizo ni Money Talks!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...