nadya ahmed ndiye aliyechaguliwa kuwa miss photo point photogenic 2006 na pia miss kinondoni 2006. hapa tunapozi na mrembo wetu tukwia na mh. isaack sepetu aliyemvisha taji la miss photogenic. huyo dada ni julie urio mkurugenzi wa kampuni ya beautiful tanzanie modelling and casting agency inayotoa mkataba wa mwaka mmoja wa kazi kwa mshindi huyu na wa ilala na temeke ambako kote photo point tulidhamini kipengele hizo.

ps: naomba ndesanjo, ama makene ama mwaipopo ama mk ama damija ama mark msaki ama charahani ama kibanda ama yeyote yule anitafsirie neno photogenic kwa kiswahili. napata taabu kidogo kujieleza...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 10, 2006

    Photogenic- kuwa na muonekano wa kuvutia katika picha. ndo maana yake kama cjakosea sana, wataalam wa lugha watasahihisha

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 10, 2006

    Nani alisema Michuzi huwa hacheki? Kila mtu ana "soft spot" yake bwana...

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 10, 2006

    Aaaah Michuzi.... Huo mkono wa shoto wapi tena huko???

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 10, 2006

    Michuzi michuzi kweli mkono hila dada anapendza, ni kutoka wapi kweli huyu ninawasi yangu macho ila nimekubali, mrefu, amependza kweli. Au jamani macho yangu tu. Anony wengine acha waseme.

    ReplyDelete
  5. Miss Photogenic 2006= Mnyange 2006 Anayevutia katika picha

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 11, 2006

    Nice suit michuzi, nice one.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 13, 2006

    Duh, michuzi hapo unaonekana kama vile Bulent Ecevit, waziri mkuu wa zamani wa uturuki.

    ReplyDelete
  8. Michuzi ninavyofahamu mimi Miss Photogenic ni kwamba ni Mrembo mwenye wajihi wa kuvutia kuliko wote. Hapo lazima element za uzuri wa umbo sura na vigezo vingine ziwepo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...