Home
Unlabelled
u-missi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
This is crime! a biggest crime ever Kikwete! Jesus fucking christ!
ReplyDeletePlease give them an extra lessons instead of! Kama vile english ambacho ndio kitu tunachekwa na waafrica wote wanaotumia englisg as sec language! TZ tuko wa mwisho! Kwa ajili ya ushuzi kama huu! You don't know how to prepare a child's future, a child's value,....shame on TZ! Halafu ndio vitu ambavyo mnaona mikoba sana huko eeh! KUGEZA VITU BILA YA KUVIFANYIA UTAFITI! Mwishoni mwafa kama kuku!
Sorry my speilling inthe 1st comment! ni off, english,.....
ReplyDeleteNilikuwa ninatetemeka kwa hasira na uchungu!
Ndugu zangu tunakoelekea kwa mwendo huu mmh maana. i even found hard to find ma words.
ReplyDeleteanyway what i wanted to say is this, its good to encourage kids to show and appreciate their talent but before we do that need to see how much did we encourage them on studies.
shule muhimu maana beuty is not life time guarantee.......
i would appreciate if these people spent much time to encourage kids the importance of education especial when kids they are looking up to them
Lakini waungwana wenzangu hapo juu tuache utani. Wewe ulivyokuwa darasa la tatu au darasa la tano kule Mpigimagohe au Ndandavyonga ulikuwa unafanya nini wakati wa break au shule ikiisha? Kama sio kucheza na cha' ndimu, kinyengo na kuruka kamba. Kama ulikuwa unasoma muda wote kama uko chuo kikuu, They robbed your youth. Waacheni watoto wajiburudishe kidogo...just for a moment...wanataka kucheza, kufurahi na kucheka...kuna mlimbwende kajitolea...why not...baadae watarudi darasani, kama kawaida wakae chini na kujifunza sayansi Kimu, Bwa' Michuzi nasikia Ali Hassan Mwinyi itakuwa barabara nne, lete mambo yake basi
ReplyDeleteSuala hapa lazima tukubaliane kitu kimoja, nakubariana na wote wanaokasirika kabisa kabisa.May be wanawake, washika dau hawajui siri kubwa iliyopo katika umiss. Umiss bwana ni tofauti kabisa kabisa na chandimu, michezo ya kuigiza na michezo mingine tuliyokuwa tunacheza enzi hizo. Hii ni stage kubwa katika maisha inafundisha vitu vilivyoko mbali sana kuliko tunavyoviona.Sitataka kundelea akina dada zetu ama waliowahi shiriki wanalijua hili vizuri.
ReplyDeleteKw maana hiyo ningeomba kila kitu kiwe na wakati wake. Watoto wadogo waelekeze nguvu zao katika masomo. Umiss wawaachie watu ambao wameisha pambanua mambo. Na lisiwe suala la kuruhusu kujaribiwa mara kwa mara. Kama una mtoto wako akiingia katika field hii mfunze vya kutosha aelewe anaenda kufanya nini siyo kichwa kichwa, make kinaweza kukatwa hivi hivi. may be tukiona ni muhimu sana, basi liwekwe somo la umiss shuleni hili watoto wanaotaka walijue vizuri.Nakugambila Mwafa bwana.
TOBA SIAMINI MAMBO HAYA, NAKUBALIANA NA WAUNGWANA WOTE HAPO JUU WANAOPINGA NA KUKERWA KWA HILI JAMBO? HIVI KIKWETE UNAONA HII NI SAFI? MY GOD GRACIOUS ME. LOOO! KAMA ALIVYOSEMA MUUNGWANA MMOJA KWANINI WASIWAPE BASI EXTRA LESSON BADALA YA KUFANYA KITU KAMA HICHI, SIJAWAHI KUONA AU KUSIKIA, INFACT KAMA NINGEKUWA NIMEAMBIWA NA MTU -NISINGEAMINI- KAMWE. MUNGU WANGU. NDIO MAANA TZ SASA INASIFIKA KWA MALAYA WATOTO WADONGO, WAMESHAANZA KUFANYWA NA MIBABA MIZIMA. NA WANAPENDA KUFATA WATOTO WANDOGO WAKIAMINI HAWANA UKIMWI, LAKINI WAO NDIO WANAWAPA SASA. KAMA YULE PETER RUPIA ANALALA NA MTOTO TANGU ALIPOKUWA NA MIAKA 13. ANAJIFANYA KAM-ADOPT. SASA ANA MIAKA NAZANI 14, KWA KIFUPI MAMA YAKE MDOGO HUYO MTOTO ALIKUWA ANAFANYA KAZI HAPA RUPIA INVESTMENTS, INASEMEKANA ALIKUWA NA DEAL NAE, HATIMAYE SIJUA IKAWAJE AKAKACHUKUWA KALE KATOTO, ANAKAA NAKO KWAKE, KAMA NI ALL LEGITIMATE, WAZAZI NA NDUGUZE WANGEJUA, LAKINI WALIKUWA HAWAJUI MAPAKA WATU WAMEULIZA MASWALI LABDA SASA AMEWAMBIA HII STORY ZUGA YA KUWA ATI KAM-ADOPT KWA KUWA KWAO MASKINI. ANAMSOMESHA NA KUMLISHA NA KILA KITU -LAKINI- ANAMLA. NA SIO YEYE RUPIA TU, WAKO WENGI. KWELI POVERTY IS A BAD THING, MUNGU WANGU. HAYA BASI. HUKO TUNAKOELEKEA SIJUI WAPI. NA MABEBERU,WAZUNGU E.T.C WAKO KIBAO AMBAO WATOTO WETU WENYEWE WANAJIPELEKA, WENGINE WAZAZI WAO WANAJUA ILA KUKAA KIMYA NA KUPENDA KWANI WATOTO WANALETA MLO NYUMBANI. SHAME ON TZ.
ReplyDeleteWewe Trio hebu twambie mchezo wa kujificha ninini?
ReplyDeleteWizara ya Elimu imepiga marufuku tuition kwa wanafunzi wa ngazi zote. What do you expect watoto wafanye kwa muda ambao wangeweza kuwa tuition? Go figure.
ReplyDeleteWewe SIMBA, mfundishe mwanao kiswahili kila kitu halafu muangalie kidarasa atafikia wapi? Nchi zilizotawaliwa na Portugalese officially wanaendelea na kireno mpaka ngazi za juu international, kama vilevile waliotawaliwa na wafaransa, waingereza na maspanish, kwa sisi watu wa third world countries!
ReplyDeleteNa uwache kufananisha maisha ya watu na watoto wa 1st na 2nd world countries! Mfano: Hapo nilipokuwa Sweden, hihi ni Scandinavia yote, mtoto chini ya miaka 18 anapata(mzazi anakaa nae) 3,000skr ambayo ni kama minimum 350,000tsh kwa mwezi from the state, hayo ni matumizi ya KILA MTOTO tu. Haya unataka kuwaambia wabongo waige mambo BILA KUFANYIA UCHUNGUZI kama huyo ntu wa juu alinyo sema? ndio nyie mnaoua taifa la kesho! Kwa sababu mnajua bull shit kidogo tu! Basi mnatumia kuwaspoil malaika ambao tunawategemea kesho!
Na unajua ni new technology eti "sio lazima tujifunze english" Nenda kachukue elimu yeyote ile ya mbele kidogo na kiswahili chako uone utaendelea mpaka wapi! Mwisho wake darasa la saba tu!
Angalia CNN, kijijini hata Burundi kitoto kinaweza kijibu kifaransa. Mkapa alisema wakati anaondoka: Hauwezi kuona ubaya wa nyumba yako mpaka utoke nje!
Wewe anony wa hapo juu ni mpumbavu sana, Uganda na Malawi wametupita Kiingereza, jee wametupita kimaendeleo?, sasa burundi kwa kujua kifaransa kumewafanya wawe na maendeleo kuliko Tanzania? Jiulize kwanza kwanini unaishi Sweden? hilo ndo tatizo la ukweli.
ReplyDeleteNyie wapuuuzi sana unaemsapoti huyo anaepiga kelele na kumtukana Yesu ..... kids need to explore their talents at young age. Wewe ulikuwa unatengeneza magari at that age walahujui nini kilikuwakinaendelea .... at that age kids need this, na u-miss si umalaya kenge nyie.
ReplyDeleteEmergencypoison umeelezea vizuri kabisa.
ReplyDeleteThank u Kigerera!
ReplyDeleteUmeongea piont sana. Ninachoongeza tu ambacho najua nitachambwa sasa hivi, specially na huyo "sumu ya dharura", nina uhakika amesoma vya kutosha, lakini wow! The guy he is bloodly primitive man! Anyways, dhamana ya mtoto under age(nafikiri ndio tunazungumzia hapa) iko serikalini(75%) na kwa mkaaji naye(25%). Hiyo ni international kutoka UN. Mwenye ubishi aiulize google! Nchi za wenzetu Africa tu usiende mbali wenye uwezo kama TZ serikali huwa inajipiga na some %s kwa kutumia kwa watoto na nyingine wanatombea. Lakini Sisi huku TZ wanatombea zote! Ndio utakuta age kama hiyo hapo watoto wengi wanaijua EDB kidogo, serikali inawapa vitu kama PC kwa extra lessons kama huyo anony alivyosema, ambayo utake usitake kwa nchi yetu lazima utaongea english tu kidogo.
Sasa huyo anony anawaambia msiige bila kufanyia uchunguzi mnaanza kukonda! Hiyo ni sawa mtoto ilibidi awe sure na maisha yake ya now and later, before hamjamchanganya.
Ndio hayo hayo mamiss eti wanajitia kwenye diet wakati wana HIV bila kujua! Mamiss hawana hata uhakika wa kula yao ya kesho! Hawana income yeyote masikini! Piganieni haki zao kwanza kama wakubwa kisha ndio muanze kuwaingiza kwenye B activities!
Sio "Makari, hodari, kaenda safari,...,...,...nyiiingi!"
Jamani au mimi sababu niko unyamwezini huku ndio maana ushamba wa huko bongo bado ninao.
ReplyDeleteMbona hiyo ni lugha tu broken ya kawaida tu huku? kuingiza neno fuck katikati? Huyo mtu sidhani kama amemaanisha kumtukana Jesus jamani! Nyie na mawazo , na tafsiri zenu. Hatapata laana hata kidogo! Ingekuwa hivyo basi watu wengi sana wangelaanika! Pamaja na Pr. Bush. Angalia American film usikie ile lugha kwa makini, kama kulaanika siwangelaanika wao? Hii "fuck" wengine hawaimaanishi kama wengine nafikiri mngemuuliza kwanza!
Can I just say something...ndio nakubaliana na nyie wote. Ila, ninachochukia sana ni kwamba Huyu Nancy aliwin Miss Tanzania kwa sababu ya uwezo wake wa kujibu maswali at first not her beauty...I was there. There were alot of other beautiful girls lakini it's the person's mind that really matters and that is the same reason she worn the African title too. How many beautiful women wa Tanzania wameenda huko kushindana na wameshindwa kuonyesha intelligence?? Anyway kama huyu miss anataka ku encourage talent wasi sahau kuwaambia watoto kwamba intelligence is the key to winning not so much beauty for the beauty of a person comes from the inside. And please lets respect people's religion's by not cursing what someone says ok!!Kama mtu anataka kusema Yesu, Mtume, Mungu wangu what is the problem. Anyway...There needs to be education jamani!!
ReplyDeleteWewe kadadaa huyo Yesu wako naye anatiwa kama unavyotiwa wewe. Usituletee za kiyesuyesu hapa, Yesu ndo nini. Kumamamazenu mnang'ang'ania mambo ya yesu tuu, mbona hao waliokuleteeni yesu hawafuati mambo hayo wala nini?
ReplyDeletewewe mtoa mawazo wa kwanza kabisa naona unaupungufu wakufikiri,nakakuambia kujua kuongea kingereza vizuri ndio ujuzi wa mambo, tanzania ni nchi inayojitawala yenyewe na pia ina lugha yake ya taifa, sasa kwa nini kama watu hawaongee kingereze vizuri iwe tatizo? na kwa tarifa yako kuna mataifa mengi sana africa ambayo yako nyuma sana kwa kingereza kuliko hata Tanzania, haya mataifa amabayo yametawaliwa na mfaransa au mreno. pia sijakuielewa kwa nini umesema kwamba ni crime, the biggest crime ever kikwete! was a kikwete a crime? na unasentensi zako nyingine ambazo kwa kweli zinatia kichefu chefu, what do you mean by jesus fucking christ? naomba kamba hujatoa mawazo inama chini ufikiri nini unakiandika, sio unataka kutuandikia upumbavu na kingereza chako cha kimaimuna.
ReplyDeleteOk ndio maana ukajiita "Mnyama" wala si ajabu! Basi amua kuanzia leo ni kiswahili tu mpaka vyuo vikuu. Na piga marufuku lugha na vitu vya kitumwa visitumike TZ. Mpaka madawa na hospitali. Na mipaka ya nchi ifungwe. Hakuna mtu atakuzuia. Halafu tuone tutaishia wapi? Pls nijibu sasa hivi!
ReplyDeleteWEWE UNAYEJIITA MNYAMA: WALA HUJAKOSEA MAANA UNAONEKANA NI MNYAMA KABISAAAAAAAAAAAAAAA, SHENZI TAIPU WEWE, NA KUBALIANA KABISA NA ANONY WA HAPA JUU JULY 22, 2006, 2:40:52AM. UNAYOONGEA NI UTUMBO NA POINTLESI. JAMANI MNAPOINGIA HUMU KWENYE BULOGU MUWE MUMEJIANDAA SIO KUJA NA KUANZA KUSHAMBULIA WATU NA KUONGEA UTUMBO. PUMBAF SANA WEWE NI MNYAMA KAMA MAMA YAKE ANNA KAHAMA. JANET KAHAMA. BILA SHAKA MUNA UHUSIANO, NA PIA UNA UWEZO WA KUANZA KULA NGONO NA MUME WA DADA YAKO WA DAMU, NA KUVUNJA NDOA YAKE ILI UOLEWE WEWE NA KUZAA WATOTO WA HARAMU. UMELAANIWA WEWE. HUTAKIWI KWENYE BULOGU HII. TOKA HAPA.
ReplyDeleteWajuaji mbona hamumjibu anony wa June 22,2:40:52?
ReplyDeleteSimba hauoni wewe na wenzio ndio malimbukeni wa akili? Sababu hamtaki watoto wajifunze kiingereza ni lugha ya utumwa. Na watu waache kufuata mila na desturi za watumwa. Sasa mbona case iko wazi hapa? Hamjui kama ni nyie ndio vigeugeu? Kutwa kucha kukimbilia kwa watumwa kutafuta maisha! Mkinyimwa visa mnaenda kuroga!.........poor u all!
ReplyDeleteswala la kujifunza kingereza sipingana nalo, lakini kuweka kwamba kujua kingereza ndio kujua kila kitu hilio ndio napingana. yulo wewe mtoa maoni wa kwanza kabisa alivyoibuka tu nakukandia watotoa kama watoto hawana ruksa ya michezo na mambo mengine zaidi ya kusoma ndio tumeshangaa, hasa hasa alipokuja kutoa sababu kwamba ndio maana kwamba tz ni wa mwisho katika kuongea kingereza. kingereza ni lugha, na muhimu zaidi ya hiyo ni watu kuwa na taaluma na uwezo wa kufanya mambo kama ufundi na biashara. naona ni wakati watz tutilie maanani swala hilo ili hata watu wanapoishia level ya chini kielimu wawe na uwezo wakufanya kitu katika maisha yao.
ReplyDeleteswala la kujifunza kingereza sipingana nalo, lakini kuweka kwamba kujua kingereza ndio kujua kila kitu hilio ndio napingana. yulo wewe mtoa maoni wa kwanza kabisa alivyoibuka tu nakukandia watotoa kama watoto hawana ruksa ya michezo na mambo mengine zaidi ya kusoma ndio tumeshangaa, hasa hasa alipokuja kutoa sababu kwamba ndio maana kwamba tz ni wa mwisho katika kuongea kingereza. kingereza ni lugha, na muhimu zaidi ya hiyo ni watu kuwa na taaluma na uwezo wa kufanya mambo kama ufundi na biashara. naona ni wakati watz tutilie maanani swala hilo ili hata watu wanapoishia level ya chini kielimu wawe na uwezo wakufanya kitu katika maisha yao.
ReplyDelete