Ramadhani Mtoro Ongala a.k.a Dr Remmy Ongala (left), Kikumbi Mwanza Mpango a.k.a King Kikii and Ismail Issa Michuzi of Dar International Orchestra (right) await their pay from copyright royalties the Copyright Society of Tanzania (Cosota) started to dish out this morning in Dar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. kaka michuzi huyu ndiyo mshua nini maana naona unamshare middle na surname ...tupashe

    ila nasikitika sana kuwaona watu wazima wakisubiri laki mbili kwa kazi ambazo ziliwafanya wazazi wetu wakumbuke na kuongea jitihada ya kututafuta na hadi kutupa uhai leo hii hapa duniani.

    ReplyDelete
  2. Shukrani kwa hii picha na naona sasa wanamuziki wa zamani wananaza kupata haki yao.Jana nilipata nafasi ya kufanya mahojiano na Gwiji la muziki Cosmas Thobias Chidumule.Mnaweza kusikiliza haya mahojiano hapa:

    http://butiama.podomatic.com

    Radio Butiama
    http://butiama.podomatic.com

    ReplyDelete
  3. Michuzi umepotosha! Kushoto ndo King Kiki na Dr Remmy yuko kati kati!

    ReplyDelete
  4. I have to admit, I never knew there was a relative of yours that sang with Dar International.
    But then again I was out of the country when I was young and came back to Tanzania when the band was already defunct. I knew little of them from hearing their songs on RTD's zilipendwa and I only knew the late Marijani since he was the band leader and the most famous of the bunch!

    Congrats to your brother (or cousin, not sure). Dar Internatioanl had some loveky songs!!

    ReplyDelete
  5. wazee tunawaomba tena uk!!! tulifurahi sana mlipo kuja kipindi kile !!

    ReplyDelete
  6. Jana Jumamosi 26.08.2006 ilikuwa ni moja ya siku kuu kwangu. Nilikuwa nahudhuria tamasha la muziki na dansi/ngoma za Kiafrika. Onyesho kuu lilikuwa ni la Makonde Band ya Kina Alain Dekula Kahanga/Vumbi, Bobo Sukari, Sammy kasule na wengineo. Nilizungumza kwa muda mrefu sana na Bobo Sukari na Vumbi. Kama kawaida tukikutana lazima tutaanza na nani yuko wapi? Nani anafanya nini sasa? Muziki na sanaa vinaendeleaje? Basi katika hizo nani anafanya nini na nani yuko wapi, nikajikuta Vumbi ananiunganisha tena Abdallah Omar Mnanga/Dula tukaongea sana kwenye simu. Lakini katika hizo nani yuko wapi, moja ikanihuzunisha sana tena mno na hata sasa hivi najisikia kulia na machozi yananilenga. Muhidin, vipi? Ulijua kama Twahir Mohamed/Super Sax amefariki? Mungu Mrehemu Marehemu Mahali Pema. Amini.

    F MtiMkubwa Tungaraza.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...