enzi zake filbert bayi alikuwa hakamatiki

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Brother Michuzi,
    Tunashukuru kwa picha ya shujaa wetu. Hawa ndio waliolitea taifa letu sifa za kweli katika michezo.
    Siku hizi tumekazania kufanya mashindano ya warembo tu.
    Ebu tutumie picha ya shujaa Juma Ikangaa pia.
    Natanguliza shukrani za dhati.

    ReplyDelete
  2. Bado ninajiuliza hivi siri ya Kenya ninini ambayo haiwezi kuigwa?Maana ukizingatia kuwa ni majirani ,wao wametuzidi sana katika fani hii hivi sasa.

    ReplyDelete
  3. Bw. Kitururu wenzetu wakenya wanakazani michezo mashuleni; na sio bakset, football na volleyball pekee kama Bongo. Kila mchezo kenya uko juu.
    Bongo riadha ilishakufa mashuleni, miguu, kikapu na volleyball wakati namalizia vilikuwa ndio vipo kwa kujikongoja. Netball nayo ilikufa.. we acha tu.
    Wenzetu wanacheza sana yote hiyo ktk ngazi ya yosso iwe mashuleni au mtaani tu.. hata Rugby pia.

    Ndio maana kila mchezo TZ inashuka... enzi tulizokuwa tunainvest ktk michezo tulikuwa tunashinda medali kadhaa ktk olympics ktk riadha na pia ktk ngumi za ridhaa. Siku hizi ndondi nayo bila, bila!! Gerezani sijui kama bado tournaments zinakuwepo; na kama zipo sijui wangapi wanahudhuria.

    ReplyDelete
  4. Hii picha ilipigwa wapi?

    Na kweli, ningeopenda kusikia waTanzania wanashinda ma mamarathon na kuambulia hizo donge nono. Siku hizi ni waKenya na waEithiopia tu!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...