hoteli ya kotyad dar kwa nyuma huku

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Majani majani kibao ndio mwanzo wa kuleta mijoka hiyo. shauri yao wa ambie wayapunguze.

    ReplyDelete
  2. Wajameni hii hoteli iko wapi dar au dodoma naona iko kwenye vijani sasa sjaitambua ni ipi ntoeni ushamba basi

    ReplyDelete
  3. jamani wewe hapo juu kweli unahitaji kwenda shule kusoma zaidi maana maneno ya picha yanasema kbs dar kwaio inamaanisha ipo dar

    ReplyDelete
  4. Kwa kweli hoteli nzuri sana inaonyesha imepoa vizuri, hapa ndio sehemu ya kufuikia nikija Bongo.

    ReplyDelete
  5. ananonymous 1,

    Hivi hujui kuwa wazungu wanapenda majoka. Wakisikia kuna snakes pale hotelini ndo watajaa! Wengine watatoka nazo kama pets.

    Wantatuona sisi waafrika washenzi kwa ajili ya kutaka kuwaua kila tukiwaona. Nikiona nyoka naua! hata akiwa pet wa mzungu!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...