Home
Unlabelled
ma-dc
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Bado wewe tu Michuzi,ugaibuni wengine ndo tunatoka makazini nyie mnakula day off leo.
ReplyDeleteBeti kanenepa gafla
ReplyDeleteWaswahili majungu
ReplyDeletekapendeza sana ila huyu dada kabla ya make up nasikia anatisha
ReplyDeleteLakini tutaendelea na utaratibu huu wa administration mpaka lini,wakati nchi inapata uhuru ilikuwa bado ni busara kuwa na ma- DC na ma-RC wanaoteuliwa na Rais, lakini sasa hivi watanzania wako tayari wameiva, kwa nini tusiwe na chaguzi za ma-DC na ma-RC? huu utaratibu wa kupeana nyadhifa hautusaidii kabisa, tunataka tufike mahali tukawa na hizi chaguzi ambazo wagombea wagombee bila kupitia vyama vya siasa, kwa sababu tukiruhusu wagombee kupitia vyama vya siasa, CCM itateka nyara hizo chaguzi na itakuwa haina maana yoyote.
ReplyDeleteMichuzi,
ReplyDeleteHilo sheti lako safi sana. Niagizie na mimi moja. Large size
brother nawe huchezi mbali na akina mama,au utasema school mate!!
ReplyDeleteangalia mkono huo bro.
Haki ya nani mchuzi nafikiri alipokuwa na 15yrs inawekana alikuwa anatisha ona mkono sasa sijui kulia kwake kaogopa nini?
ReplyDeleteBetty kama angepita Ubunge sasa hivi angekuwa Waziri, bahati mbaya alianguka kule Unyalukoloni, dada yangu Sara mmh, wa nyumbani, hapo MG wanakufahamu mitikasi yako ulipokuwa mwakilishi nadhani unatamani kukumbushia.Hongereni, fanyeni kazi hizo kumbukeni ni za kupewa nataka msimame kugombea ubunge 2010
ReplyDeleteUkitaka habari ya mambo ya Serikali ya Awamu ya Nne nenda hapa
ReplyDeletehttp://www.KikweteShein.com picha na kila kitu wanaweka hapa..
anonymous 8.8.06 acha majungu unasikia what is kusiki proof useme kwa komfidence huo ni umbea totally.Michuzi umependeza sana na wakina mama mwanamke poda bwana.
ReplyDeleteKhe jamani huyo Betty Makwasa ni mbeya na mpenda majungu sijawahi kuona yaaani daaaaaaaa ana mdomo sana huyu mama kwa majungu tu na umbea nampa kura zooooooooote naona michezo michafu ya siasa ataiweza haswa
ReplyDelete