Home
Unlabelled
shein
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Haki ya nani MICHUZI umenikumbusha miaka ya mwishoni ya 90 nilipokuwa Yogyakarta nikisoma nilishatembelea hapa mara kadhaa. Hapa Makamu wa Rais mwaka 2005 alitembelea Hekalu la Borobudur'Candi Borobudur'ni mojawapo ya ajabu la 8 la dunia, lilijengwa miaka ya nyuma sana wakati kabla ya teknolojia ya ujenzi wa majengo ya nakshi na marefu haijaingia. Ujenzi wake ulifanywa kwa mikono kwa kuchonga mawe na kuyapanga kwa ustadi bila kutumia saruji.Sasa hivi ni kivutio kikubwa cha watalii nchni Indonesia.
ReplyDeleteKenda lini huko Makamu wa Rais mbona juzi tuuu alikuwa mgonjwa akipata matibabu huko London au picha ya siku ya nyuma sana
ReplyDeletealipotoka ktk ziara za kiserikali ndio alikuja london kwa matibabu.
ReplyDelete