baada ya mkwara mzito wa el, barabara ya shekilango rodi sinza inapigwa lami

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. sasa michuzi ndiyo unataka utwambie kwamba manispaa kazi hawaezi au hawafanyi hadi kuwe na mtu wa kuwasukuma ,kweli hii balaa sijui kama tutafika tunakotaka kwenda..........

    ReplyDelete
  2. Hii barabara inajengwa chini ya kiwango,wanatumia foundation ya barabara ya zamani badala ya kuweka mpya, haiwezi kudumu sana

    ReplyDelete
  3. kuitengeneza ni poa ila waweke matuta.la sivyo watapata ajari sana.mpaka hapo ajari nyingi zaidi watoto wa shule.sijui watu uwa wanakuwa wanashangaa matako ya wanawake wa sinza.yaani mtu anajisahau anastukia ameishawapanda watoto wa shule.

    ReplyDelete
  4. sana sana pale karibu na kili time sijui sasa hivi inaruhusiwa kulala pale? make kama kibandani kwako mitaa ya sinza kuna joto usiku unaweza kuamia kili-time. Ukapata upepo na huduma nyinginezo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...