Home
Unlabelled
bwawa la maini
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Niliona jamaa aki-pose hivyo hivyo kwenye sinema ya Kung-Fu!
ReplyDeleteKwa kweli mimi kama Arsenal / Yanga naona hiyo timu ya bwawa la maini imejitahidi msimu uliopita ila subirini this time mtakiona cha mtema kuni.
ReplyDeleteJersey nzuri sana hiyo.
ReplyDeleteRadio Butiama
http://butiama.podomatic.com
semkae!
ReplyDeleteuna ngapi. mi niko tayari kuweka dau lolote; sio tu hamtuwezi, bali pia hamfiki kokoooote!
Kwako Chemi...
ReplyDeletehapa michuzi alikuwa anakula "dana dana" kutumia goti la kulia kama hiyo 'pozi' inayoonekana...au sio wenzangu??
sasa mimi naomba tuwakaribisheni Emirates Stadium halafu muone jinsi itakavyokuwa. Unakumbuka msimu uliopita?
ReplyDeleteKama Dau naweka kwa ajili ya mechi kati yetu na nyie. Unasemaje hapo?
wewe ongea vitu vya msingi acha ujinga...una timu mwaka huu?
ReplyDeletesem! nakwambia usije lia. we sema una ngapi. halafu kama alivosema anony 10:01, we huna chako mwaka huu. achana kabisa na sisi yu neva wok aloni. sema, una ngapi? halafu we semkae usijibaraguze... mna ngapi? mkitia mguu safari hii mna tarana
ReplyDelete