baada ya wabongo kufanikiwa kuifunika blongo ya kongo kwa bongo flava, nguvu sasa zimeelekezwa kwenye sinema za kinaijeria ambazo zinatawala bongo kama ndombolo ilivyofanya zamani. hapa nasir mohamed (kulia) anaeishi ughaibuni yuko bongo akitengeneza moja ya filamu zake nyingi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Mbona hakuna hiyo Picha unayo isema?

    ReplyDelete
  2. mweee,technical error au michuzi unaturusha?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...