WAPENDWA, KAMA NILIVYOAHIDI, NARUDI TENA KWENYE KIMATUMBI. AMA HAKIKA NIMEGUNDUA KWA FURAHA WENGI WETU TUNAPENDA KISWAHILI. HIVYO NASHUKURU KWA KUNIVUMILIA NA PEPA YA KIMOMBO ILIKUWA TAFU KIASI. MATOKEO KAMA MAZURI NTAWAJUKISHA. KAMA KARAI BASI NTAMEZEA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. michuzi, u are a funny dude man. u just wanted to set the record straight. Nafikiri watu walikuwa wanataka tu uchague moja, kikristu au kibantu, badala ya ile ya english mbovu....i never liked that 'shit' either, na kuna marafiki zangu wa karibu wanaitumiaga inanikera sana. Mimi ni mpenzi mkubwa wa kiswahili, na nina mipango ya kuja kusaidia kukiendeleza, hasa kwa 'none believers'!

    ReplyDelete
  2. Tanzania watu wanaongea kiswahili, english na swanglish. Naona tuwe na uhuru wa kutumia vyote.

    This is not official business, just a blog and a place to have fun.

    Afteralli wi aree noti goingi to do mthiani hapa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...