Home
Unlabelled
nyu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
i hope wananchi wakirikitwa wataanza kuelewa kwamba hawa viongozi hawaendi kutembea na kutanua tu but pia kutafuta vijideal kwa bongo
ReplyDeleteUWEKEZAJI AMBAO ASILIMIA KUBWA HAYO MAKAMPUNI NDIO YANA FAIDIKA NAYO. MIKATABA YOTE HAIKO KTK KUMTETEA MTANZANIA WA CHINI NA ALIYE MASIKINI.
ReplyDeleteWe anony hapo juu, uwekezaji kwenye utalii na chuo kikuu wapi na wapi? Wrong message to wrong people. Unataka utalii kutana na hao travel agents wao ndio watakao washawishi watalii. Hao wanafunzi ukishawaambia tu return ticket ni elfu mbili tayari hata hiyo hamu ya bongo hawana.
ReplyDeleteHivi nani anapanga raisi aonane na nani na wapi?Kwenye picha nyingine hapo kabla naona raisi anawahutubia watanzania hao hao aliokuja nao.Kwanini wanachoambiana hapa wasingeambiana huko huko Tanzania?
ReplyDeleteKimsingi,nchi masikini kama zetu haziwezi kuwa na uwezo wa kupeleka Marekani kundi kubwa namna hiyo la watu. Ni uharibifu wa pesa za nchi.Hapa ndio ninaamini kwamba Kikwete hana tofauti kabisa na maraisi waliopita zaidi ya kwamba ana sura yenye mvuto.
Hili linaendana kabisa na matumizi mabaya ya ndege ya raisi ambapo hivi sasa imegeuka kuwa "shopping basket" ya mke wa raisi.Majuzi alikwenda nayo Swaziland kuhudhuria sherehe za mfalme Mswati kuchukua jiko la 14.Kwanini?
Nilifikili maelezo ya picha za juu yalieleza raisi akihutubia wabonga na wanafunzi(wabongo and whatever) kuliko kwamba anahutubia msafara wake? Take yor tie go through the content.
ReplyDeleteWabonga kumradhi- wabongo
ReplyDeleteMmmh! Kichekesho ni pale JK anapokomaa kuhutubia University New York ambapo huku kwake University of Dar es Salaam wanagoma kwa kukosa hela za msosi......what a contrast!!!
ReplyDeleteMI SI NILISEMA HAWA WAZEE NI WESENGE WAKUBWA, WEZI NA WALA RUSHWA WANAO IRUDISHA NYUMA NCHI YETU ALAFU KUNA WATU WENGINE WANAJIFANYA HAWAONI HALI HALISI NA KUWAUNGA MKONO, YAANI KILA KONA BONGO NI NUKSI NA SHIDA TUPU.NINA HASIRA KUBWA SANA KUONA RAIA ZAIDI YA MILIONI 33 WAKIWA NA MAISHA YA KIMASIKINI NA KUTOKUWA NA MAENDELEO KUTOKANA NA UONGOZI MBAYA WA HAWA WEZI NA WALA RUSHWA.
ReplyDeleteHaters!
ReplyDeleteWote mmekimbia bongo mko ulaya ndio mnajifanya mnajua kila kitu,kama mgejua si mngebaki bongo kurekebisha system instead ya kukaa nje ya uwanja na kukosoa wachezaji?