nikiwa na rajabu nasoro zubwa (shati lekundu la mistari) chuo cha sanaa bagamoyo kwenye tamasha la sanaa. hawa ni baadhi ya wanasarakasi anaowafundisha na ambao wamepata tenda kwenda ujerumani na kufanya maonesho kwa miaka mitatu. zubwa ni mmoja kati ya wale vijana 20 waliokwenda kusoma sarakasi china miaka ya 60, na ni wanne tu ambao wamebaki wakiendeleza libeneke
Home
Unlabelled
zubwa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahahahahahaahhhahahaha!hiyo mawani!du!nakumbuka kaka yangu mmoja anaitwa paul ndunguru alisoma bagamoyo.
ReplyDelete