Home
Unlabelled
ajali
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
ajali ina kinga. barabarani kunatakiwa kuwa na lama zinasema mifugo iko mbele. Madereva na wao wanatakiwa wawe makini.
ReplyDeletebarabara ya morogoro rodi is a mistake,correct is barabara ya morogoro or morogoro road
ReplyDeletethank God it did not lead to human loss.
ReplyDeleteHII INAONYESHA JINSI GANI MADEREVA WETU WASIVYO NA BUSARA KATIKA KUFUATA SHERIA ZA USALAMA. HPO NI SEHEMU YA MAKAZI YA WATU, MWENDO MARANYINGI USIZIDI 50KM/HR INAELEKEA ALIKUWA KWENYE MWENDO MKALI SANA MPAKA KAUA NG'OMBE WOTE HAO TOKA KULE NYUMA! HAWA MDEREVA HUWA WANAPITA BARUTI SANA SEHEMU ZA MAKAZI KISA HAKUNA TRAFIKI POLICE!
ReplyDeleteKaka Michuzi hii picha umeichukua eneo gani karibu na mji kasoro bahari? Maana maeneo ninayojaribu kuyafikiria mahala gani picha imechukuliwa ni eneo kati ya Bwawa la Mindu na Doma ukielekea Iringa au maeneo kati ya Mkundi na Dumila ukieleekea Dodoma.
ReplyDeletehatai kwei kwei - sasa hao ngombe si watachinjwa watu wauziwe na wao wanunue bila kujua ni vibudu? Jamani mwendo mkali madereva jamani chonde chonde
ReplyDeletedaaaaaaaaaaaaaaam ina maana huyo jamaa kagonga ngombe moja,mbili,tatu,nne,tano,sita woooow..yaani aliwagongaje?hilo ndio swali kwani alivyo gonga mmoja hakuona astop?mmmh hao madereva ndio maana ditopile mmmh...........
ReplyDeletesasa tungekuwa na ditto wengi ndo madereva wangekuwa woga..hapo ingekuwa mifugo ya dito anaua dereva konda na mpiga debe..!!
ReplyDeletesassa hapo tungekuwa na dito wengi madreva wangekuwa woga kidogo..kama ni mifugo ya dito hiyo angeua dreva konda na mpiga debe siku hiyo
ReplyDeletekwa nini wana acha wanyama wawe wana tembea ovyo????
ReplyDeleteBlogger hapo juu kasema kweli ajali ina kinga, misemo hii ya kipuuzi yenye lengo la kupuguza makali ya tukio haina nafasi kwenye jamii yetu ya sasa.
ReplyDeleteNg'ombe hawakutakiwa kuwa pale barabarani na kama walikuwa wanavuka kwenda upande wa pili wa barabara ilitakiwa kuwe na alama yakuonyesha madereva kuwa wanyama huwa wana vuka barabara katika eneo hilo.
Na huyu dereva kuzoa wanyama wote hao anaonekana hana 'speed governor'. Kwa hiyo ajali inaweza kukingika.
Sufa
Michuzi naomba ututumie picha za CYNTHIA MASASI huu msiba umekwisha tikea na Dito yupo kwenye mikono ya sheria GUYS LETS MOVE ON....!Mzee Michuzi naomba picha zaidi za TAUSI NA MREMBO CYNTHIA MASASI NINAMUHUSUDU huyu dada kupita kiasi nadindisha kila mara ninapoona picha yake niko mbali kidogo na Atlanta siunajua siunajua tena ubusy wa Maryland mzee michuzi?
ReplyDelete....but animal lives are lost!! we should value them too..part of national income. Drivers should take great care while driving.
ReplyDeleteHivi wewe anonymous 4:09 ndio unajifanya unajua zaidi ya michuzi au?Au ni mgeni wa blog?
ReplyDeleteKimbelembele kitakuja kukuumiza.Si kwamba hajui ila anafanya hivi kwa makusudi,mjinga kama wewe ndio utahisi amekosea.
Reckless driving..Hayo ni makazi ya watu, barabara inapopita karibu na makazi ya watu kwa Tanzania mwendo unatakiwa si zaidi ya 50km/hr. Inaonekana alikuwa spidi sana. Hao wamasai kama wangekuwa kama DITOPILE MZUZURI wangeshamuua dereva hapo!Ila wameona watapoteza haki yao ya kulipwa hao ng'ombe na kifungo juu. Ni busara ndogo tuu ilimshinda.
ReplyDeleteHUU NI UZEMBE MKUBWA NA SIO AJALI. HUWEZI KUPUKUTISHA NGOMBE 7 MFULULIZO USEME NI AJALI. LOGICALLY UKIANGALIA MAHALI HII EVENT IMETOKEA INAONYESHA NI UZEMBE MAANA ALIANZA KUPUKUTISHA KUANZIA MITA KUMI RUDI NYUMA.
ReplyDeleteeeee bwana hee!!!!!!!!!!! duuu!! Nyama ya Bure hiyo
ReplyDeleteSasa wewe muandikaji mbona unafanya kama hujasoma na kuchangan ya watu....Either ni Barabara ya Morogoro au Morogoro Road(Rodi).
ReplyDeleteLakini SIO Barabara ya Morogoror Rodi...brother please!!!
xx..Da_Hater!!
Lazima dereva akapimwe anahitaji MAWANI how come akanyage ng'ombe wote hao bila kuwaona??jamani madereva sasa mmezidi kama mchana huo ng'ombe hanjawaona usiku ataona hata daraja kweli ama kweli maisha ni kuyashika mokononi !!!
ReplyDeleteDUH! Jamaa kafanya BOWLING na basi lakini nini. Kagonga ng'ombe wangapi? DUH! Hakuwaona nini au walikimbia tu mbele ya basi yake. Hao waMasai lazima walikasirika sana. Na hapo kwenye hiyo eneo nadhani watu walikula mishikaki ya nyama ya vibudu. Je wangekuwa watoto wa shule wanavuka barabara ingekuaje?
ReplyDeleteHapo panaonekana kama ni pale Lutheran Junior Seminary hivi Morogoro..ajali zinatokea sana hapo madereva mume makini
ReplyDeletewewe mwita tunakuheshimu sana lakini sasa naona unajiaibisha, unakuwa kama hujasoma bwana? kama unadidisha kwa nini usiende bafuni na sabuni ama mafuta ya mgando na hizo picha za warembo umalizie haja yako humo humo bafuni? aahh mijitu mingine bwana inatia kinyaa kabisa!
ReplyDelete