banana zahir ally zorro na bendi yake ya banana. wimbi jipya la muziki limeibuka ambapo wasanii kadhaa ya kizazi kipya wameunda bendi na kupata tenda kutumbuiza sehemu mbalimbali. badala ya kutegemea shoo za pleibeki. wengine wenye bendi ni tid na jide

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. sasa wa fanye nini wakati wadosi wanawapiga bao daily kwenye cds n' tape sales...its a easier mo' transparent way for our musicians to make a living, this bloody gabacholis have got our local celebreties boardin' "vipanya" na sisi wananchi...."pay me my money, i do the show, nice doing business with you, till next time"...sio "albamu yako pana uza kabisa"...wakati msela yuko ndani ya lexus....

    ReplyDelete
  2. Hizi bendi ni kupata umaarufu tuu. Gate collection hailipi hata kidogo bongo. Angalia hao wenyewe wako kama saba hivi. Mwenye bar pia ana mgao, walinzi , usafiri wa vyombo,mabaunsa nk. Jamani kuuza records ndio kutawaokoa kama mkiwa na mapromota wa kweli.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...