Home
Unlabelled
ujumbe
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
gigolo mkubwa, pambavu weeeee.
ReplyDeleteHawa jamaa wamebwia sana nini?
ReplyDeleteHAKUNA KIPANDE RAHISI WEWE KAZANA SANA MWISHO UTAFANIKIWA NA WHO KNOWS SI AJABU BONGO UNAIONA HUMU HUMU KWA MICHUZI HUJAKANYAGA TANGU KARNE ILE ULIPOTOKA PALE UKELEWE LILE DARAJA ULILOKUWA UNAPENDA KU BUZZ KARIBU NA YULE AUNT YAKO ANAYEUZA MAZIWA YA MGANDO BADO LIPO ILALA MAMA YAKO HALI YAKE INAZIDI KURUDI NYUMA KILE CHOO CHENU BATI IMETOKA MLANGO UMEIBIWA NA SASA MAMA ANAOGA WAKATI KUKIWA HAKUNA MVUA NA MLANGO UMEBAKI NI PAZIA LA GUNIA MALA NYINGI WATOTO WA MTAANI HUPITA NA KUMCHUNGULIA WAKATI AKIOGA. SASA MKUU WAKATI UNAKUMBATIA HICHO KIPANDE KUMBUKA KUTUMA TU DOLLAR MAMA YAKO ANA ADHILIKA HUKU TARIME.
ReplyDeletewivu tu jamanni. Saa unajuaje kama jamaa mambo yake hayajatulia Bongo. Kila mtu na maisha yake jamani, usitake kuziweka shida za kwenu kwa watu wengine. Please, we jenga kwenu kivyako-vyako!!!!!!
ReplyDeletehivi we anony wa 10.51 ndo kusema umechanganyikiwa au? huyu mtu mmoja mama yake yupo ukerewe (siyo ukelewe), ilala na tarime heeh?vipi jamani? vipi mwenzetu jiografia ndiyo umesahau nini?
ReplyDeleteYa man! Ganja mingi, man bomba plastik!
ReplyDeleteYale yale tunaanza na majingu kwanza kwani huku ulaya watu hawachoki ndo yale ya kusema ukiishi ulaya hufii
ReplyDeletehah mambo ya mapenzi raha sana.
ReplyDeletemapenzi hayana macho,ni kuchanganyikiwa kwa kwenda mbele.
ReplyDeletesasa huyo kaka ambakwa au anafanya nini?
ReplyDeletesasa mapenzi kizungu zungu.
ReplyDeletesasa huyo mweusi mwenzetu hajaona totoz za bongo mpaka aparamie damu baridi ??
ReplyDeletemhhhhhhhhhhhhhh
ReplyDeletehe heeeeeee
ReplyDeletemichuzi mbona comment zangu hutoi unanibania??
ReplyDeleteha ha haaaaaaa
ReplyDeletemakubwa
ReplyDeleteMbona binti mwenyewe ni UNDER 18?? Ndugu huogopi kuambiwa kuwa UNABAKA vitoto?? Tunazijua sana za majuu, zenu kuchukua vitoto vidogo baada ya kuvidanganya kuwa mna DOLA na kuvivutisha BANGHI kidogo!! Pole kaka! tafuta binti mwenye umri unaoendana na wewe!!
ReplyDeleteHuna haja ya kuleta picha yako hapa kutuonyesha unaliwazwa...hii ni nini hasa...ulimbukeni ama???Unaona fahari ya mtoto wa kizungu??Pengine ungezingatia ushauri uliopewa hapo juu....kumbuka ulikotoka.It looks like akili yako imetekwa...Just remember where u came from.Pengine shida unazopata zinatokana na manung'uniko ya kutowajali wazazi wako.Kumbuka wazazi....huzuni zitakoma!!!
ReplyDeleteSIJAPENDA narudia SIJAPENDA! hii blog ni ya kitaifa sio mahala pa kujitafutia sifa (ujiko wa kitoto)
ReplyDeletekwanini ulazimishe picha kuwekwa, ili sisi tupate nini?
...usirudie tena ! kizungu hicho kitakulostisha tu, punguza kubwia...kuwa serious
hivi vichangu vya kizungu ,kina dogo akifika ulaya masalia ya nauli na poketi money kwao kuonja mzungu kwanza.pili kuanza kumnunulia bangi,hawa wengi anamtaka mweusi kwakutafuta bangi kama si unga kirahisi.mzungu mwenye kazi yake nzuri na mzuri utapata wapi we mkimbizi?
ReplyDeletemhm huyu bwana naona ameamua kujitoa muhanga (kuji-matyr kama suicide bomber) kwa kuomba hii picha yake iwekwe humu akiwa hivyo.
ReplyDeleteHapa hata ukiweka picha unakunywa chai na chapati wakujificha (ma-Anonymous) na wenye majina ya uongo watakushambulia usiku kucha! Humu jelasi imekithiri kama mgao wa umeme, hilo tulikubali na tulizoee tuu, hakuna jinsi!
Acheni maneno. Wivu tu umewajaa. Mmeona mwenzenu kapata mpenzi wake basi tena madonge rohoni. Mkila ugali matonge yanawakwamwa. Mtaendelea lini? Go beyond the color. That is love right there. Kwanza uzuri wa hawa watu weupe ni kuwa akikupenda anakupenda kweli kweli no matter how much money you make. Sio wabongo mwanaume anakwambia I love you kumbe anavibanda hasara kibao. Mwanamke anakwambia I love you kumbe anapenda wallet yako ikipungua uzito basi humwoni tena. Trust me mnaosema kuhusu hii picha wote wivu tu. "Sizitaki mbichi hizi" kumbe hamuwezi kuzifikia pumbafu nyie
ReplyDeletesio vizuri kujudge uhusiano wa watu on the basis of their race.ila kuna mchangiaji mmoja naona anaishi kwenye dunia nyingine kabisa.....huyu anayesema kuwa mzungu akipenda aangalii kama mtu ana pesa anazungumzia wazungu wa kwenye movie au?
ReplyDeleteWewe anonymous hapa juu lazima nikujibu, umesema wazungu ndiyo wanaopenda kweli kweli no matter what?!! Nani kakwambia! Wazungu kama waswahili tu, unless unaongelea wale ambao hawajiwezi, au siyo wazuri lakini wazungu ninaoishi nao na kufanya kazi nao, najua wanaangalia mambo hayo hayo kama waswahili tu. They are even worse, wana wivu kuliko watu wowote duniani, halafu ukiwaoa hawataki usaidie ndugu zako!! We wacha bwana! Acheni ushamba wa kusema mambo msiyoyajua, binadamu ni binadamu tu. Ukibaatika kumpata mzungu mstaarabu shukuru Mungu tu!
ReplyDeleteHao wazungu unaowasema ni hao unabeba nao mabox? Wazungu waliosoma na kuelimika poa kishenzi na very understanding. Hata bongo wanakujengea nyumba. Wasiotaka usaidie wazazi wako ni hao wa kazi za paycheck to paycheck ambao walifukuzwa kwao mara walipotimiza miaka 18 tu. I am telling you from my experience. I have been there I have done that. Namuunga mkono sana huyo aliyesema go beyong the color. This is very interesting topic. Ila kwa upande wangu pia tufahamu kuwa mtu ni mtu no matter the color
ReplyDeleteBora ndugu yangu uko na huyo mama wa kizungu angalau huwa wanatupa kisamvu cha kopo.....!! hawa wa kibongo mpanga uonge na kuonga ndiyo upewe!! sisi wengine hatujazoe kufanya mambo bila kisamvu cha kopo.....
ReplyDeleteChuzi nipe jamvi nitoe shule:
ReplyDeleteKabla ya kufomoka na manene chafu, SOMA picha na maelezo yake.
SHULE #1: Acheni wivu. Jamaa amechoka na labda anasubiri taxi kwani drink&drive haipendi. Na labda amejinywea baada ya kusikia kiwanja chake bongo mmekinywa...
SHULE #2: Inawezekana huyo ni mwanafunzi anavuta pumzi baada ya mitihani na kachukua A yake au kachoka baada ya mzigo. Nyie pia mwende shule, kwani si uongo wengi wetu secondary tunaisikia redioni tu.
SHULE #3. Color ya waliopo ktk picha inaambatana na maelezo "...love keeps us warm" Labda ni toto ndo asemaye hivyo.Iwapo penzi lipo, we will move the mountains..
And Mr. Chuzi: keep it up
MARATASI HAYO
ReplyDeleteBlackmpingo, Anonymous wa Friday, December 01, 2006 10:53:45 PM, na waThursday, November 30, 2006 7:59:00 PM, Myasemayo si ya KWELI. Ukweli unabaki kwa zemarcopolo na Anony wa Friday, December 01, 2006 6:47:10 PM hawa jamaa wawili wanaonyesha jinsi gani WAMETUZOEA na wanatujua sisi WAZUNGU (hehehehe). Mnashangaa siyo mzungu wa SWEDEN kuongea kiswahili kuliko Mtanzania aliyeisi Texas au London kwa miaka miwili tu???? Michuzi, Tack så mycket!
ReplyDeletemtasema mengi sana, kuna mchangiaji mmoja hapo juu kasema "kwa umeweka picha yako hapa? huyu jamaa ana lalamika sana kwa jamaa mmmoja kamvizia na kumdaka wakati akiwa chepe!??? kama apenda maendeleo yake sii angemtoa akiwa darasani? hii ni baada ya shughuli ngumu, kaamua kujipumzisha baada ya kitabu. hizo bangi na cocaine mmezitoa wapi? achani umbea! that is life and love consistence!!
ReplyDeleteby zzigler:
ReplyDeletekwanza napenda kuweka mambosawa hapa!:-
(1)huyu mheshimiwa inawezekana yuko namchumba wake,yaani mamawatotowake mtarajiwa,au tayari nimkewake.
(2)siamini kuwa ndiye aliye ombapichayao iwekwe hapa,inawezekana muombaji nimiongoni mwa waleee tuwaitao kubwa j!yaani wale wanaopenda kufuatilia mambo ya fulani kalanini,kavaa nini,japo pesa ya kufanyia hayo hawajui anakoipata!
(3)namshauri huyo mheshimiwa aendeleze dili zake zinazo ufanya mkonowake uende kinywani,kwani hilo ndilo la msingikwake,aachane na wadaku wanao mchoma!maana wanao mahalfcast si unajuatena itabidi waende shule nzuri.
kama nishule we kata babake hukubongo kazi utapata,tena ikiwezekana wawezafanya ktk international level.tena huenda professional yako ikawa inalipakinoma,wanao paka wataishia kuwa duwa lakuku halimpati wewe!(mwewe)
(4)nakushauri ukija bongo njoo namamawatoto huyo maana huku tumeambiwa tubadilitabia tumeshindwa!tabia zetu ni majungu,kuchonga midomo na kuchonga nanihiipia kwenda mbele ndio maana HIV inatumaliza1sasa wewe ukija na mamaa kisha ukatulia nae basi chanjo ya kaukimwi umepata mwanangu1wataishia kumezamate lakini kula hawatakula mkubwa!!teh teh teh!
mwisho,nawasikitikia sana wachongaji wanaokupaka maana huu muda wanao haribu hapa wange utumia kufanya mamboyamaana,au hata kuikosoa serikali na kutoa mapendekezo namnagani maisha ya mtanzania yaboreshwe,otherwise watabakia kuishi ktk vircious circle of poverty kuanzia kichwani hadi in practical form of life(maisha halisi)
nyie mnaosifia wazungu hamwajui.. mzungu anaweza safiri mpaka afica kuja kulala na mwanamke tu.. jamani fikirieni sana kabla hamja sema.. wazungu ni malaya tu kama watu wengine..
ReplyDelete