vijana wa fm academia wakishabulia jukwaa usiku wa leo kusherehekea boxing day kijiji cha makumbusho. kwa jinsi wanavyoweza kuvutia washabiki lukuki, inabidi twanga pepeta wajipange upya. jamaa si mchezo...maana wamekubalika dar na hatimaye sasa twanga wana mshindani wa haja!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 14 mpaka sasa

  1. hizo nguo walizovaa utafikiri vipepeo,michuzi washauri wawe na sare basi kah!

    ReplyDelete
  2. Hapa kweli twanga wajifue, je chipolopolo nao vipi ebu tuwekee katika blog tuone kama ushindani umeiva...

    nimewakubali FM academia haya Twanga kazi kwenu...International, kwa upande wa Chipolopolo, tunasubiria habari zao.

    ReplyDelete
  3. hi bwana michizi hap vijana siku hizi wanatisha sana nasikia hata Twanga hawakuti, imekuaje wakaaacha twanga. Naomba ututajie kikosi kizima cha Fm.

    ReplyDelete
  4. WAZEE HAMJAKOSEA KWANI WANA WA NGWASUMA SIO MCHEZO. TWANGA PEPETA HAWAONI NDANI NA KILA WALIPO WANANCHI KIBAO WAMEJAA, NA WAUMINI WAO WAKUBWA NI WAKURUGENZI WA NGUVU HAPA MJINI, NA WANAWAJALI SANA, NIKIANZA NA 1.SAMUELI MABIBA MFANYA BIASHARA MAARUFU HAPA MJINI, MWENYE VISIMA VYA MAFUTA, 2.BENI MULOKOZI WA MANYUMBA, NA MKUU WA MADALALI WOTE, 3. CHALESI MUTAWALI, MKUU NA MUZEE WA MAGARI, 4.SAID MWINYI DOKTA NA MKUU WA MANYUMBA PIA CLEARING NA FORWADING.
    ASANTE KWA KUWATANGAZA HAWA FM ACADEMIA, BENDI YA UHAKIKA HAPA BONGO HII, TWANGA PEPETA KAZI KWENU, NA CHIPOLOPOLO TUNASUBIRI.

    ReplyDelete
  5. Baadhi ya mastaa wanaounda FM Academia, wazee wa 'Mujini' au wanagwasuma ni:
    1. Nyoshi el sadat 2. Pablo Masai 3. Mule mule 4. Pacho Mwamba nk.
    Enzi zile Prince Papy Kocha (au mtoto wa mfalme kama tulivyozoea) alikuwa anichagiza kwa rap zake zilizoenda shule.
    Eh bwana hawa jamaa wanasumbua jukwaani wee acha tu

    ReplyDelete
  6. Hamna bendi ya kufananisha na twanga hawa manajitahidi tu THE MIGHT TWANGA PEPETA ni kiboko

    ReplyDelete
  7. JIPE MOYO TU, NDUGU Rhxoqsa. Pole sana kama una sheaz na twanga pepeta. inabidi tu uwape moyo lakini ukweli ndio huu,: WANANGWASUMA OYEEEEEE;

    ReplyDelete
  8. Rhxoqsa pole sana kama unaongelea twanga ya SAFARI 2005 nakubaliana na wewe lakini kama ni intaneshonali??? inglishi noti richaboo....Wamekwisha labda tusema chipolopolo maana wazee wa kazi wapo kule. Michuzi ebu tuwekee vitu vya chipolopolo na intaneshonali ....Wanangwasuma wanatesa ...

    ReplyDelete
  9. kweli jamaa hapo juu umenena sijui kwanini hawavai sare yaani safu haipendezi kabisa unajua ukivaa sare hata usipocheza sana mnapendeza lakini na mirangi mara huyu kijani,bluu njano ilimradi shughuli tuu inaboa,pili kuhusu twanga mimi twanga nashangaa siku zote watu wanaisifia hamna kitu pale safu ya uimbaji sijui inafanya nini yaani ndio wananiuzi hakuna bendi ina safu ya uimbaji ya mbovu kama ile watu wanavaa kila mtu chake(mara huyu kavaa suti huyu kit-shirt,huyu kaptura tuelewe nini?,kila mtu style yake ya kucheza anayojua yeye mimi wananiuzi sana wanapewa vichwa vya bure tuuu kina lwiza na babu yao midevu angalau wale vijana wanaorap diouf,banza.....wanafurahisha nasema twanga ingebaki ile safu ya kucheza tuu maana ile ndio bendi yenyewe hao wanaoimba hakuna hata mwenye sauti ya kuvutia na nzuri kwa hilo tu ndio napowasifu wazaire wanakwambia mziki hauwezi kukamilika bila mavazi sababu unakua mbele ya watu

    ReplyDelete
  10. Michuzi,

    mbona wanaonekana kama wanatoka damu usoni ? Ni mkorogo au ndio walivyo

    ReplyDelete
  11. NI MIKOROGO HIYO, MANA NIKAMA FASHENI BONGO SIKU HIZI WANAWAKE KUJICHUBUA HATA WEUPE PIA WANATUMIA ILI WAZIDI KUWA WEEEEEEEUUUUUUUUUPEEEEEEEEE, HATA WANAUME HASA HAWA WAZAIRE KWA MKOROGO NDIO WENYEWE, HALAFU WANAISHIA RANGI YA PEPSI MIRINDA. MANA UONGO MKOROGO UNAKOLEA SANA USONI LAKINI UTAONA MIKONO NA MIGUU NA KWENYE VINGOKO, BADO KWEUSI.

    ReplyDelete
  12. Mbona watu wenyewe hakuna? Chipolopolo zaidi

    ReplyDelete
  13. Chipolopolo zaidi

    ReplyDelete
  14. NEW YEARS EVE PARTY
    WASHINGTON DC.

    ALL AFRICAN COUNTRIES.LET'S GET TOGETHER.

    DECEMBER 31/2007 FROM 9PM TO 4AM TILL WE SEE 2008 TOGETHER.
    LOCATION MIRAGE HALL 1401 UNIVERSITY BLVD,HYASTIVILLE MD 20783 ABOVE CRYSTAR CLUB.
    COME ON, COME ALL TOGETHER TO CELEBRATE NEW YEAR AND EVE'S BIRTHDAYS. CONTACT: MAYOR MLIMA 301 806 8467 DJS DJ LUKE,DJ RICHIE(FBI)DJ DAVE,DJ JOE.ENTRY $20 COVER BEST COUPLES TO GIFTED. ALSO ITS A CHAMPEGNE NIGHT&ALL THE DRINKS

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...