Home
Unlabelled
utalii
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ha! Jamani mamiss gani hawa mbona wamechoka kinoma loh! Bwn Gidi hujawaona warembo waliosheheni mitaani dah watoto wamechoka kuliko hata mie kidume!
ReplyDeletenaona jamaa antoa lekcha hapo,ameshawahi kuwa miss nini?
ReplyDeleteHuyu Chips vipi mbona mwenyewe kachoka sana.........?
ReplyDeletehuyu chips ni bonge ya tapeli yaani nawashangaa ambao wamempa kibali cha kufanya hayo mashindano. Aliwahi kutuzika zawadi zetu wakati akiendesha mashindano ya Miss Kilimanjaro. Aliwahi pia kupigwa Moshi mchana kweupe kwa ajili ya utapeli wakati huo akiwa anafanya bima kabla ya kupunguzwa kazi. Ya nyumbani kwake ndo kabisaaa bora tuyamezee!!!Nyie ma-miss kaeni chonjo na mtu huyu
ReplyDeleteMichuzi weka hiyo comment yangu kuhusu huyo chips. Nataka hao wadada wamfahamu vizuri kabla hawajaingia kwenye hayo mashindano ya utalii
ReplyDelete