Home
Unlabelled
nuhu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Naomba msaada jamani.Hapo mahali paklo sehemu gani ya mji? Naona pametulia na ningependa siku moja nitembelee.
ReplyDeleteMASAKI
ReplyDeleteHabari,hapo ni NAMANGA.Jamani pembeni yake hapo kuna chips tamuuuu[ukienda huwa tunasema leo tunaenda kwa JUMA]uwiii leo niende nikale{wengine wanaita CHIPS VUMBI}.KARIBUNI SANA
ReplyDeleteHapo ni Namanga baada ya maduka ya Wapemba ukichepuka tu kama unaemda Msasani Kanisani; Panaitwa Arca di Noe...
ReplyDeleteHapo ni Masaki mwisho baba, pana sifika kwa malaya wa bei mbaya, jumatatu mpaka ijumaa wanafanya kazi za kawaida maofisini, weekeend wapo hapo na magari yao ya bei mbaya, bila dola 50 hakuvulie chupi! labda atokee kukutunuku tu
ReplyDeleteHapa ni barabara ya Kimweri ukitoka Namanga kama unaelekea Aqua Video Library Msasani. Hii kwa wale wa zamani wanaokumbuka Msasani Bay Villa sasa kama unatokea Namanga kuelekea pande za huko Bay Villa au Smokies. Umenipata hapo na kama umeondoka zamani sana basi itakuwa ngumu kidogo
ReplyDeleteKaka Anony hapo ni maeneo ya Namanga at the junction of Kimweri na Old Bagamoyo Road...panaitwa Larca de Noe....in English NOAH's Arch....kama ushawahi kusoma Bible!
ReplyDeletePanaonyesha pametulia. Kwa pembeni hapo naona kama mabati yenye kutu!!!! Kama ni kweli, basi watuandalia na kinga ya tetenasi
ReplyDeleteNi L'arca di Noe(italian).Nenda tu kampe mpika pizza(chapati za kizungu)utajiri!
ReplyDeleteWanakimbia upuuzi wao kwao kuja kupika chapati ambazo hata sisi twaweza zipika.