ally abdulrahmani maarufu kama alison ni mchezaji wa kibongo wa kulipwa timu ya daraja la tatu ya Sköndal jijini sitokihomu, uswidi. straika wa kutegemewa wa timu hiyo na endapo atajaaliwa anaweza kutoa mchango kwa taifa staaz endapo ataitwa. Hapa anakula pozi na kikosi chake mwanzoni mwa msimu huu na tayari keshatingisha nyavu mara kadhaa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Habari Michuzi!

    Picha hii uliyoipandisha hapo inaonesha kuwa kuna wachezaji wengi sana wa bongo wanaosakata kabumbu Uropa lakini hawatambuliwi kwa kuwa hatuana kawaida ya kutambua nini tunapaswa tufanye. Picha hii itawaamsha

    ReplyDelete
  2. kula mwanangu ndo maboksi yenyewe yanayowaumiza walio bongo.kila mtu akiwa ukerewe anadaiwa kubeba boksi!mnaona wachovu wa bongo mambo kama kumsukuma mlevi.piga boli mwanangu bongo usicheza fitna tupu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...