Home
Unlabelled
mwafaka
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hii ndoa ya CUF na CCM ina mgogoro ambao hautatuliki. Kama kipanya anavyosema, Muafaka wa siasa za Zenji ni serikali ya Mseto, kama hilo halitoshi, basi muafaka halisi ni mpaka chama cha CUF kishinde basi uchaguzi huo utakuwa huru na haki. Rahma (Ukraine)
ReplyDeleteUwiiiiiiiiiiiiiiiii Michuzi umeona? Counter yako vipi nani kakukorofishia, ati ndo kwanza unakaribia kufikisha visitora alfu 6? imeniuma utadhani blogu yangu vile. Au ni kitu temporary, du umeliwa, CV unaikanyaga chini hivi hivi. Basi itabidi kwa wanaobisha kuwa ulikaribia hits 1.500.000 waambie wadunge HAPA
ReplyDeleteWadau kuna badari nilikua nasoma kwenye alasiri Shyrose naamini kwa mlioko bongo,mimi kwa kweli simjui eti wabunge walijadili kuhusu uvumi wa ndoa yake na kijana wa bongo flava Jaffarai what's wrong hawa watu wakioana?Mliko bongo tunaomba taarifa.
ReplyDelete