rais wa zanzibar mh. amani abeid karume akiwa na (toka shoto) mufti mkuu wa zanzibar sheikh harith bin khelef, jaji mkuu wa zanzibar mh. hamid mahmoud, naibu kadhi mkuu sheikh juma khamis, naibu waziri kiongozi na waziri wa habari, uUtamaduni na michezo ali juma shamuhuna na kadhi mkuu wa zanzibr sheikh ali khatibu mranzi walipomtembelea ikulu zanzibar leo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Mbona kuna maji mbele ya aliposimama Karume na Mufti? Au wamabauwa?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...