mkurugenzi wa aset da'asha baraka akitoa maelezo leo kuhusiana na shindano la kumsaka mwana wa twanga pepeta. shoto ni meneja wa bia ya safari lager mama helen sweya na kuume ni bosi wa manywele entertainemnt ambao ndo waandaaji. si vibaya kama utabofya hapa kupata muziki na habari kem kem za kibongo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...