kinondoni muslim

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 01, 2007

    duh xul yangu yangu hiyo...mwalim hashim...uko wp?

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 01, 2007

    Namna Hii Misupu Unatukumbusha Vingi ..Fanya Fanya Na American Chips,Macheni Pitapita nako

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 01, 2007

    Nimesoma hapo enzi ya miaka ya sabini wakati Kinondoni Muslim ilikuwa Kinondoni muslim kweli kweli, nakumbuka wanfunzi maarufu walikuwa marehemu Marijani Rajabu kabla hajahamia Tambaza, Robert Katura, Edward Kirumbi, Thomas Mtandu, Peter Wangwe, Yunus, Mehboob Dossa, Makamanda wa TPDF kama Col. Kakiziba, Col. Chipeta wamesoma hapo. Prof. Mikidadi alikuwa mwalimu wa kiswahili. Thanks Michuzi for the good old memories.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 01, 2007

    Tuwekee chama letu TAMBAZA!!!

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 02, 2007

    Duh hii kali wangu Nimesoma hapa Enzi aza akina Mwalimu Hoya, Mwalimu Sharifu, Kabitulila, Mwalimu Lihangwike, Mwl. Januwara, Mruma hahahah si mchezo, Tambaza hawana kitu michuzi tuliwachapa enzi Kinondoni Kinondoni kweli kaka!!

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 02, 2007

    Michuzi usisahau chama kubwa Azania (Aza Boy)

    ReplyDelete
  7. Nawakumbuka sana Mwl. Shariff, Mwl. Deo, Hegga enzi hizo mwishoni mwa miaka ya tisini kaka mkuu alikuwa Ustadh Jamil Salum Abdallah Poli. Washkaji zangu wa karibu sana miongoni mwao alikuwa Adam Juma [Visual Lab - Next Level], Producer Jumaa [Mawingu Studio]. Kutokea hapo hapo shuleni nilikuwa mshindi wa insha inayohusu UKIMWI iliyoandaliwa na UNAIDS na TAYOA. Na mengine mengi mazuri sana kuhusus shule hii.

    naomba kuwasilisha

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 06, 2007

    kama ni hivyo basi na sisi wa pugu sekondari tukumbukwe au?

    ReplyDelete
  9. Shukran Bwana Michuzi, kwa waliomaliza 1974 Kinondoni naomba tuwasiliane kwani muda umekwenda sana. Ahsante

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...