klynn akiwa kwenye foto shuut maalum kwa ajili ya albamu yake ya pili atayozindua karibuni

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 29 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 01, 2007

    Jirani,
    Binti kapendeza, pozi poa sana, background iko sawa .. mzee kiti hicho kiko out of place fanya bidii japo polish, naomba kuwasilisha. cheers, Jirani yako.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 01, 2007

    she is cute.. keep do ya ting klyn

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 01, 2007

    Mtoto huyu mrembo sana nataka kumchumbia maana siku nyingi namzimia kaka mich tafadhari nipatie mawasiliano naye.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 01, 2007

    hata mimi nilitaka kuzungumzia hicho kiti juu kaniwahi hicho kiti soi kizuri tafuta kingine colorless tafuta stuli ya glass au mpingo mzuri yaani iwe mti tupu isiwe na hio siti.otherwise kila kitu poa

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 01, 2007

    haka katoto kanavutia,kan mvuto wa pekee!

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 01, 2007

    yeah hiyo stuli noma imeharibu kila kitu, jamani vitu vidogo vidogo kama hivi vinabadilisha kila kitu, pay attention to details wajameni!

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 01, 2007

    Miss Klyn na sisi wa huku NJ tutapata wapi CD yako????Since nyie mnaenda sana UK. Ziuzeni hizo CD basi Stern's Music. (google it)
    Mwana Dada una "package" to sell. You have the "IT" factor. Great songs too.

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 01, 2007

    Huyu mwanamke naye yuko fit kila mahali. Ni mzuri kwa kisi chake.

    Ila naye hii picha kaipiga wapi tena!? Michuzi umemuuza mwenzako bila sababu kwa kumuweka juu ya kiti cha kizamani.

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 01, 2007

    pheeww! mnh, haki ya mungu. Haya! mashaaallahu, fahari ya macho haifilisi duka! Haki yake ulipoutwaa u miss Tanzania. KAZIDI PENDEZA!!

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 01, 2007

    dah sina la kusema, mtoto bomba sana

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 01, 2007

    sweety honey k-lynn, honey wewe ndo queen wa bongo,unaniacha hoi bin taaban.mawazo yangu yote yako juu yake huku ughaibuni. nitafurahi ukiwa wangu k-lynn achana na kina kinje boy wababaishaji tu hao na wahuni.njoo kwangu baby, nionapo picha zako na video clips zako unanimaliza na kunifanya nijisikiye juu katika hii dunia mummy njoo kwangu mimi mkweli.
    michu pitisha salaam hizo please mjumbe hawawi au mwambiye asome message hii sawa.

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 02, 2007

    SILENT STALKER says.....Mashallah!!!

    ReplyDelete
  13. AnonymousMay 02, 2007

    Sir Issa KWA MARA NYINGI UNAONYESHA UZOEFU WAKO..BINTI MZURI ANAVUUTIA..INAELEKEA POTABO HUYU....NIMEAMINI MOJA YA KAZI YA STULI NIKUKALIA...

    ReplyDelete
  14. Dah hata sina la kusema yaani she is georgeous like hell kama alivyosema anonymous hapo juu kuwa nice backgroud pozi safi ila hiyo stuli angetafuta iliyopigwa polish kidogo

    ReplyDelete
  15. AnonymousMay 02, 2007

    Miguu ya kistuli na miguu ya KLynn imefanana

    ReplyDelete
  16. HAKIKA ANONYMOUS...MTOTO KATOKA MSWANO MIE KWA MAPOZI NAMKUBALI K NA KIMAVAZI AAAA she is a diva hakuna ubishi....ILA kweli hiko kistuli mm!! (SIO KIIVYO)...KAKA MICHUZI NAOMBA UKIEDIT PLZZZ
    na hii picha nimeshaiiba..... NI TAARIFA TU!!

    ReplyDelete
  17. AnonymousMay 02, 2007

    mh jamani my pwaaa umeshaiba picha mara hiii....hahaha kweli namekubaliana na wewe she is always lukin gorgeous ila hicho kistuli haha sio kihivyoooooo kabisa, kama vp michuzi peleka photo point wakaiweke kwenye adobe tu na wakibadilishe rangi.

    ReplyDelete
  18. AnonymousMay 02, 2007

    hiyo stool aliyokalia jamani, du find something more appealing lady

    ReplyDelete
  19. AnonymousMay 02, 2007

    nyie wote mnaokandia kistuli washamba hata mwenyewe beauty aliokalia kakiona poa hamjui picha kwani hiyo sio album cover na pia hamjauliza kwanini kapigia hapo mnaropoka hivi mnadhani kila mtu zuzu kama nyie??isitoshe u wapi msahafu wa kupiga picha kiasi cha nyie mjifanye mnajua!!tumeni zenu tuzione,
    The beauty is in the eye of beholder
    Nakumbuka hata maneno ya remi yasemayo
    Baba yako anayo ???
    labda kigoda!

    ReplyDelete
  20. AnonymousMay 02, 2007

    nyie wote mnaokandia kistuli washamba hata mwenyewe beauty aliokalia kakiona poa hamjui picha kwani hiyo sio album cover na pia hamjauliza kwanini kapigia hapo mnaropoka hivi mnadhani kila mtu zuzu kama nyie??isitoshe u wapi msahafu wa kupiga picha kiasi cha nyie mjifanye mnajua!!tumeni zenu tuzione,
    The beauty is in the eye of beholder
    Nakumbuka hata maneno ya remi yasemayo
    Baba yako anayo ???
    labda kigoda!

    ReplyDelete
  21. AnonymousMay 02, 2007

    DERRICK MUSHOBOZI gojazi laiki hell? is that supposed to be a compliment or what?

    ReplyDelete
  22. AnonymousMay 02, 2007

    Huyu Derrick Mushobozi mtu wa kujipendekeza, hajawahi toa comment akawa critical, yaani kote si kwa Michuzi au kwa Haki, mh, au ni fomu one tunamuonea, maana yawezekana si mtu mzima. Ni vizuri lakini kuwa na watu wa hivi katika jamii

    ReplyDelete
  23. AnonymousMay 02, 2007

    kistuli hiko doa kubwa sana, anyways tafuta mume uolewe, piga shule uachane na ujinga wa bongo flava ulishapata umaarufu wa kutosha
    usilewe na urembo warembo wanazaliwa kila siku

    ReplyDelete
  24. Huyu binti ni Mzuri, na hii picha imependeza sana. Tena kama atakuwa alikuwa pekupeku basi hii picha ni nzuri. Kuhusu Kistuli hicho mimi naona ndo chenyewe haswa, kwani ni Kibaya, afu ukilinganisha na uzuri wake na miguu yake imeleta contrast nzuri katika picha.

    Nahisi angekuwa amekalia kistuli kizuri hii picha isingekuwa unique, kwani ingefanana na zile picha tunazoziona kila siku za warembo wa ughaibuni, lakini this one is fab.

    hicho kistuli kimetulia katika uzuri wa huyu dada.

    ReplyDelete
  25. AnonymousMay 03, 2007

    ANONYMOUS wa WEDNESDAY MAY 02,2007 6:57:00PM
    Wewe umeingia humu kutoa maoni ya kitu kilichowekwa au kuanza kuongelea watu ndio mbona sisi wabongo tunakuwa washenzi sana maana huyo DERRICK mlivyomuandama utafikiri mmeambiwa kuwa yeye ndiyo topic hapa kama unaingia ingia kimpango wako na siyo kuingia humu halafu unaanza kujadili huyu yuko hivi mara yuko vile acha umbea utafikiri mwanamke bwana maana kila nikiingia humu kuchangia nakuta tu comment za kuwadiss watu badala ya kuchangia vitu vilivyo kwenye blog mnakimbilia kuongelea watu huo ni ukosefu wa akili na mnaonekana wajinga tu

    ReplyDelete
  26. Jamani kuna warefu wafupi, weusi weupe, wanene wembamba, wabaya wazuri, akili tofauti, mawazo tofauti, kila mtu kivyake basi mwacheni derrick kila mtu ana principal zake. Kama anataka fagilia kila kitu shida yenu nini?
    mbona mtu hakatazwi kuandika apendacho?! au kuna mtu derrick ulim dump sasa ana kushupalia hivyo lol! check your contacts man!
    Waridi

    ReplyDelete
  27. AnonymousMay 03, 2007

    Hatukumdhihaki Derrick, angalia maoni aliyotoa kuhusu TAHLISO sasa hivi, yana mantinki, ameanza kuwa critical, nikirudi nakupa link kama 10 at random, uone comment zake alizowahi toa, utatu support tu kuwa, ni mtu mzuri sana Derrick

    ReplyDelete
  28. AnonymousMay 04, 2007

    Jameni kila mtu na kazi yake naona sasa huyu Derrick ameishakuwa kigezo jamani tunaomba ukiingia humu changia basi ulichokuta sio kuanza kuchangia kuhusu watu wanaotoa comment zao kwani mtu akitoa comment it doesnt matter kwani wewe hizo comment zake zinaku affect wewe kivipi,kila mtu anaingia humu kwa mpango wake na kwa mawazo yake kwahiyo kinachoongelewa na kila mtu humu ni kutukona na mawazo yake mimi nashangaa sana kukuta watu wanamzungumzia huyu Derrick utafikiri kama vile alichukua mke wa mtu fanya kilicho kuleta humu au kama vipi piga chini angalia mambo yako sio kuanza kuzungumza behind peoples back au kuna jambo haiwezekani mtu kila ukiingia anazungumziwa yeye tu badala ya watu kuchangia mada iliyomo humu

    ReplyDelete
  29. AnonymousMay 04, 2007

    ANONYMOUS WEDNESDAY MAY 02 2007 11:26:00PM changia kilichokuleta humu ndani na sio kuanza kuzungumzia watu wengine au kama umekosa cha kuongea ni bora ukaacha maana naona badala ya kuchangia wewe ume base tu kwa kumfuatilia mtu mmoja mimi nashangaa sana wabongo ndio maana hata tukiulizwa maswali na sisi tunauliza badala ya kujibu wewe mtu mwingine anakuhusu nini au wewe kinauuma nini umeingia umekuta kuna picha toa maoni kuhus hiyo picha na siyo kuanza kukaa na kupiga majungu kuhusu wengine unaboa tena nyie ndio wale kazi zenu ni kuzungumzia maisha ya watu badala ya kufanya mambo yenu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...