Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kwa mtindo huu tutaelewana.Filamu ya kiswahili na jina la kiswahili,safi sana.Umezuka ujinga wa filamu uchwara kupewa majina kama `Girl Friend`,`Dillema`nk wakati maudhui yote ni kwa kiswahili.Kwanza hata mtiririko wa hadithi zake ni wakuigaiga toka ulaya na tamaduni za Afrika magharibi.Tubadilike,riwaya za kiswahili zile bora hasa za zamani zitengenezewe Filamu kama ilivyo Simu ya Kifo na zile za Joram Kiango.Big up Katalambula!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...