mabondia wa shirika la utangazaji la uingereza yaani bbc toka kushoto chaaaaaz hilary, hassan ‘imaratison’ mhelela, na bondia wa kulipwa kassim "the dream" ouma wa uganda [bingwa wa dunia uzani wa middle unaotambuliwa na IBF) na idd mwana seif ambaye alishawahi kuwa bondia enzi hizo, japokuwa sasa kama ilivyo kwa chaaaaz na hassan ni mtangazaji wa bbc. hapo ouma alitembelea idhaa ya kiswahili ya bbc akitokea uganda alikoenda baada ya kusamehewa na serikali kwa utoro jeshini. habari zaidi za ouma bofya hapa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 08, 2007

    Mtoto ni mzuri sana huyu http://youtube.com/watch?v=bYuu83u7ulw&mode=related&search=

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 08, 2007

    Charles Hillary, samahani lakini hiyo sharti imekaa kama zile nguo za wafungwa wa gerezani huko Alabama USA!

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 09, 2007

    mzee wa macharanga tumbo la nini tena ulaya huku wakati masupu ya ulimi, korongo, trupa nk pale breakpoint hupati tena. mazoezi mzee!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...