pamoja na kutosajiliwa msimu huu na timu yake ya yanga ama timu ingine beki wa kimataifa wa burundi ramadhani wasso hajamwaga manyanga. kila siku anajifua peke yake lidaz klabu na kisha huelekea gym kujifua zaidi. wadau wengi wanabashiri kutokea ya nonda shabani ambapo yanga walimlia kobisi naye baada ya kujifua kivyake akaibukia sauzi kabla ya kuelekea ughaibuni ambako kama wanavyosema, yalobaki ni historia na yanga kuishia oooohh nonda kacheza jangwani wakati ukweli ni kwamba 'alipita' tu. hahahaa ....waswahili bwana!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 13, 2007

    Bora uwaambie wewe Bro Michuzi maana tukisema sisi tulio ughaibuni watasema tunajidai, Yanga Simba,majungu uswahili vimezidi sana!! Soka hakuna, ndio maana watu si ku hizi tunashabikia timu za Uingereza ukiwemo na wewe!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 13, 2007

    Duh Michuzi huu ni mfano mzuri sana wa msukumo binafsi.
    Hebu tudadafulie huwa anasukuma gozi peke yake kwa masaa mangapi kabla ya kwenda gym?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...