Home
Unlabelled
mluzizzzzzz
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
we kipanya hicho kibali cha kumiliki silaha kakupa nani?
ReplyDeleteOlalaaaaaaaa!!!!! wanam-DITO mwenzao ,jamani hivi ni kweli hii skendo ya BOT inaishia kwa vyombo vya habari kihivi tu,nahisi kama hii SIRI KALI kama imeishiwa nguvu, kasi hamna ndo kwanza tumesimama na hali ikiendelea kuwa mbaya
ReplyDeleteJ.K & Lowasa mbona kimya kuhusu hili swala la BOT? Hua kawaida ungesha wasikia wakileta longo longo zao.
ReplyDeleteE bwana Kipanya basi nimekunyooshea mikono, ila nakuomba uwe makini wasije wakakuchifupia na wewe, maana amina alianza hivyo hivyo. Huyo Balali ana mijumba huku DC mpaka balaa na hakuna wa kumgusa mpaka mwakani atamaliza muda wake salama na atarudi DC kuungana na familia yake. Wadanganyika huu ni wakati wa kufunguka macho na ikiwezekana tufile pertition. Mzee mwanakijiji uko wapi kwa hili, nakuona tuu kwenye jambo forums, tafadhali wmawazo yako yanahitajika huku kwani kuna wasomaji wengi huku.
ReplyDeletehapo sasa kasheshe, kaba koo wengine unaachia, JK 2010 huwezi pata 80% tena yaani ukipata 65% ya ushindi ushukuru. Ila utapata upinzani mkali sana
ReplyDeleteI received this today and I thought it would be good to share.
ReplyDeleteFact of Life
There was a blind girl who hated herself just because she's blind. She hated everyone, except her loving boyfriend. He's always there for her. She said that if she could only see the world, she would marry her boyfriend.
One day, someone donated a pair of eyes to her and then she could see everything, including her boyfriend.
Her boyfriend asked her, "now that you can see the world, will you marry me?" The girl was shocked when she saw that her boyfriend is blind too, and refused to marry him.
Her boyfriend walked away in tears, and later wrote a letter to her saying. "Just take care of my eyes dear."
this is how the human brain changes when our status changes. Only a few remember what life was like before and who's always been there even in the most painful situations.
Life Is A Gift
Today before you complain about life - Think of someone who went too early to heaven.
And when you are tired and complain about your job - Think of the unemployed, the disabled and those who wished they had your job.
Before you complain about the taste of your food - Think of someone who has nothing to eat.
Before you argue about your dirty house, someone didn't clean or sweep - Think of the people who are living in the streets.
Before whining about the distance you drive - Think of someone who walks the same distance with his or her feet.
Before you complain about your husband or wife - Think of someone who's crying out to God for a companion.
Before you complain about your children - Think of someone who desires children but they're barren.
Before you think of saying an unkind word - Think of someone who can't speak.
But before you think of pointing the finger or condemning another - Remember that not one of us are without sin and we all answer to one maker.
Life is a gift, Live it, Enjoy it, Celebrate it, And fulfill it.
"People may not remember exactly what you did or what you said but they will always remember how you made them feel."
Unajua kama siamini hivi kumbe spidi gavana ni hatari maana imeweza kumaliza kasi ya jk na swahiba wake lowasa kiulaini hivi ok mie yangu macho kinachofata ni rivasi mpya watanzania tujiandae na hilo.
ReplyDeleteInachekesha, inaelimisha. Safi sana Kipanya!
ReplyDelete...Kipanya, you are good! the Message is short and Clear! It is just too bad that nothing is being done about it...
ReplyDeleteaminia jibababa na meseji yako hapo juu
ReplyDeleteUlieongelea 80% na 65% ya kura kwa JK uko sahihi.Lakini ninachokiona mimi ni kwamba mwaka 2010 watu hawatajitokeza kupiga kura kama ilivyokuwa kwa 2005. Maana jamaa ameshindwa kumeet matarajio ya wapiga kura na hawataona mbadala kwa upande wa upizani. Tusibiri, takwimu zitatuambia
ReplyDeleteTafasiri ya hiyo katoon ni nzuri sana inaonyesha kiwa usipo kula nao utahadhirika tu...uchunguzi ,makelele kibao kila kiongozi atakunzungumzia.ila embu kula nao...kama hawapo vile ikibidi...watakutetea hadharani... hii ndio Bongo Bwana.Watoto wetu wanakosa Ada za shule wanafukuzwa wakidai haki zao ni wakorofi na wahuni...wao wanachukua haki zetu na kutuacha masikiniii wakutupwa... walio wavivu wakufikiri huunga mkono maaamuzi ya viongozi hawa mafisadi...nakutufanya watanzania wapumbavu kabisa...ina inasikitisha sanaaaaa.
ReplyDeleteGavana wa Tanzania ni mwizi mkubwa sana na ana mabilioni ya shilingi ndani na nje ya Tanzania.
ReplyDeleteKutokana ya kwamba Tanzania hakuna demokrasia ya kweli katika kuendesha nchi na mambo mbali mbali ndio maana utamkuta mtu kama huyu yupo bado anafanya kazi na kutumia mali ya umma. Tukio kama hili lingetokea katika nchi ambazo zimekomaa demokrasia na haki ya mahakama sasa hivi angekuwa jela kwa wizi na rushwa alizokura.
Jambo hili tumeliona pia katika swala la Ditopile ambaye ameua na kutoa roho ya mtu na hakuna mtu aliye mshika.
Ni ushauri tu kwa Jakaya Mrisho Kikwete, Kama ukiwa ogopa hawa watu na kuwaachia tu wawe huru na hatia wanazo fanya basi upange mikakati ya kuiba kura katika uchaguzi ujao kwa maana hakuna Mtanzania atakaye kupigia kura kama kila siku pesa ya nchi inashuka thamani, Maisha ya Mtanzania yanazidi kuwa mabaya na mpaka sasa hakuna la maana unalo fanya.
Wewe kama Rais wa nchi unabidi uweze kuangalia nchi inavyo kwenda na hacha mambo ya Urafiki, Undugu katika kuendesha nchi tumekuweka madarakani ili utetee maslahi ya Tanzania na Watanzania lakini kama watu kama hawa wanaiba mali ya umma na kuua watu ovyo na kuwafumbia macho na wengine wakizidi kura rushwa nini maana yake?
Kikwete Tuoneshee maana ya demokrasia.
FORGET ABOUT IT JK WE ARE READY FOR YOU 2010 IS CLOSE BY.
ReplyDeleteWatanzania makelele kibao kwenye mitandao lakini hamna ujanja wa kufanya kitu chochote. Pesa zimeshaliwa na Balali atakuwa huru na hakuna kitu kitakachofanyika. Tatizo la Watanzania ni watu waoga sana na pia ni Wapumbavu. Mnaona ubaya wote unaofanywa na hii Serikali ya CCM lakini uchaguzi ukija mnawachagua hao hao kwa asilimia 80 au zaidi. Ndio maana nawaambia kina Balali, Mkapa na wengine wataendelea kutafuna pesa huku nyinyi mnateseka vijijini na mijini kwenu.
ReplyDeleteJK safi katika suala la rushwa, lakini Lowasa hana usemi kwa sababu ni mwenzake tu. Lakini nawashangaa waandishi wa habari mnakaa kimya tuu. Kidogo nitoe chozi waziri Karamaji aliposema tuhuma hazina ukweli. Yeye ana ushahidi gani kuwa hazina ukweli. By the way na wabunge wanakaa kimya tu. Du! Tanzania tuna matatizo. Lakini nawaambia wabongo wenzangu haya mambo hayafai kulelea. Tukilelea kuna siku tutaingia kwenye matatizo makubwa ya kuuana.
ReplyDeleteJambo kama hili lingetakiwa lichunguzwe kiundani sana. Waandishi what are you doing, PCB mnafanya nini.
Nasema tena narudia kama sio sasa lakini watoto wetu hapo baadae hawatakubaliana na hii hali, mali zetu ziibiwe na watu hivi hivi. Nasema tutaingia matatizoni kama hatuangalii kwa makini
Jamani kama kuna watu wakuonea huruma katika nchi hii ni wabunge wetu na mawaziri, Karamagi ana matatizo anatetea vitu asivyokuwa na hakika navyo, karibu nizimie alivyokuwa anajibu bungeni wapinzania wanasema tume iundwe kumbe chama tawala kimeshaunda tume na matokeo yake karamagi kaja kusoma bungeni bila haya. CCM acheni kujichanganya fitendeeni haki nchi JK fanya kazi nchi inaisha kesho watanzania watakuhukumu kuwa uliwadanganya.Jamani hata mijadala ya maana Shibuda anachangia eti Balali aombwe radhi. Ananichekesha wakati wananchi wa maswa hawana barabara.Hao ndio wabunge wetu.
ReplyDeleteWaka mtoa nishai DK Slaa, laikini Sitta alinifurahisha alipokataa wasimuadhibu. Kikubwa na ambacho TZ itaendelea kuwa kichekesho ni kwamba dhambi ya CCM huwa ni takatifu na waitetea daima kuangusha kwao ni mwiko(kama fitina ilivyo mwiko) sasa hapo tuna demokrasia ya kweli? sema tu hatuna wapinzani waliotulia lakini siku ipo tena si mbali, yana mwisho haya
ReplyDeleteJamani tusiishie kulalamika hapa nadhani wote tunajua maovu ya Wabunge wa CCM na Serikali yao. Wabunge wa CCM wako pale kutetea maslahi ya watu wa CCM na si maslahi ya wananchi waliowachagua. Kinachotakiwa ni kuanza ku-mobilise watu wasikipigie kura Chama Cha Mapinduzi. Na pia wananchi waanze kuandamana kudai uchunguzi ufanywe kuhusiana na deals zote na ubadhirifu unaofanywa. Jamani inauma sana kuona nchi inaliwa na wachache na huku CCM wanateteana na wananchi wamekaa kimya. Waandishi wa habari pia andikeni makala mbalimbali kuhusiana na huo wizi au mikataba mingine yote feki
ReplyDelete...Kichekesho ni kuwa watanzania tunashindwa hata kuingiza bungeni angalau Wabunge wa Upinzani Mia moja na hamsini tu. Na hili sitaki kukubali kuwa ni tatizo la Wapinzani. wapo watu wengi wenye uwezo ambao wangeweza kuingizwa Bungeni kupitia tiketi ya upinzani wakaenda kuchangamsha mambo kuliko ilivyo sasa. Watanzania tuamkeni.....
ReplyDelete