david kutoka uganda ndiye mshindi wa shindano la faidika na bbc akiwa na kivuli cha hundi ya dola elfu 2, laptop na cheti cha ushiriki. jumla ya vijana wajasiriamali watarajiwa 4 waliingia fainali baada ya kuwashinda washindani wengine 5,000 toka sehemu mbalimbali afrika mashariki na kati ambapo bongo iliingiza washindi 2 na kenya mmoja. shindano lilihusu kushindanisha propoza za miradi ambapo david alibuni mradi wa kutengeneza mishumaa ili kusaidia taifa lake kupambana na makali ya matatizo ya umeme pamoja na kutoa ajira kwa vijana wenzie

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 28, 2007

    hicho kiwanda au biashara ya kutengeneza mishumaa itafunguliwa? yeye itakua ni mradi wake?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...