msanii ray c anatarajia kupaa kwenda ughaibuni hivi karibuni kwa shoo kadhaa kwenye miji mbalimbali ya marekani. tarehe na ratiba vinatayarishwa na vitatolewa karibuni. kwa sasa mcheki www.bongocelebrity.com ambako ameanika juani mambo yake karibu yote

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 26, 2007

    Ray C lini utakuwa mbunge kama Amina Chifupa? au unasubiri nikiwa raisi nikuteue kuwa mkuu wa wila ya kama Beti Chalamila? hivi na wewe unaitwa Ray Chalamila eeeh? nyie ni ndugu? au beti ni mamako?

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 26, 2007

    Annon Hapo Juu...Betty siyo mama yake Ray C...Ila sema tuu wana same last name Chalamila.I knwo this for the fact maana Betty is My aunty basically Huyu Rehema Cahalamila ni jina tuu.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 27, 2007

    huyo anon wa kwanza kabisa anaongea pumba nzito,au unaweza kuyaita mashudu!

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 27, 2007

    Hivi Michuzi huna cha kutuwekea ??? Tumechoka na haya madubwasha !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 27, 2007

    mtoto mzuri huyu ila punguza mkorogo utakuua

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 27, 2007

    Moses Moo ngoma unaileta tena hakikisha unampima bro maana ngoma taulo la Hoteli!peace out

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 27, 2007

    NYIE WOTE HAPO JUU NI "MA-HATERS" HAMNA CHA KUSEMA ILA KUMPONDA RAY C. KAMA AMEWAFUNIKA MKUBALI TU? KAMA ANATUMIA MKOROGO? AU NI MKUU WA WILAYA WHAT IS IT YOU? KAMA HAMNA CHA KUONGEA SHUT THE F--K UP. TUNAMSUBIRI KWA HAMU SANA HUYO RAY C ATAKOPOWASILI HAPA WICHITA, AU KC KWANI SIKU HIIYO LAZIMA TUMUONE TUU

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 28, 2007

    Hey Ray C,
    vipi big apple ipo katika ziara yako? Washabiki wako wa Nyuu yoku twakusubiri,

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 30, 2007

    mtoto upo matawi ya juu funika bovu.nashauri ufanye corabo na mzigua mwenzako wa bukoba saida toroli

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 31, 2007

    jamani muacheni ray c afanye kama yeye awezi kufanya kama nyie...,chuki za nini?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...