Home
Unlabelled
tamim
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ama kweli ukiyashangaa ya Musa utayaona ya Firauni! Huyu "handsome boy" kalikung'uta lile libaba la ki-Kenya? Anastahili sifa ndugu yetu maana yule jaluo alinitisha sana hata mimi!
ReplyDeleteBravo Tamim!
hongera kaka una mwili mzuri sana wa heavy weight ,i think with more practise you can do it,body stracture inaonesha uko bomba jitahidi kitambi kisitokee tu
ReplyDeleteMichuzi tunakuheshimu sana kwa mchango wako lakini hii ni noma sababu unafanya mambo ya plagialism hii ni picha ya gazeti la mwananchi na unaificha kwa makusudi. hebu achia headline ionekane hapo juu kama unavyofanya kwa habari leo, Daily News na wengineo.
ReplyDeleteNimeshaona katika matukio kama manne hivi gazeti la Mwananchi unalifichia Master Head pachika bwana ili tuone.
Mkenya ana miaka 43, Tamim ana 27. Wasn't it a mismatch? Yes it was.
ReplyDeleteSiijui rekodi ya mapambano ya Tamim lakini kwa kukitwanga hiki kibabu cha kikenya tuu, no credits from me.