Home
Unlabelled
top in dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Nilikuwa nasikia wimbi "chagua moja" wa TID,nikajiambai mwenyewe kuwa huyu kijana ana kipaji.Lakini pengine ujumbe uliopo kwenye wimbo huo unamfaa yeye mwenyewe pia kwani yampasa achague moja kati ya kuwa msanii mfano na kioo cha jamii au ngumi mkononi.Nadhani sio "vijembe" bali ni ile kasumba ya baadhi ya wasanii wetu kudhani kuwa "ugangwe" (hivi hili neno bado linatumika?) ni kikolezo muhimu cha u-selebriti.
ReplyDeletehuyu jamaa ndo kaisha kabisa kacopy na kupaste nyimbo yake ya NYOTA YAKO toka kwa pasada wa msumbiji. mi naona wamkandamize na copyright damage ili iwe fundisho kwa wasanii wanaoiga kupata umaarufu.
ReplyDeletezisikilize nyimbo zote bofya hapa halafu unambie sio kucopy na kupaste mpaka sauti, noma sana TID