
Baada ya msimu wa bundesliga kuwa likizo hivi sasa jamaa wa DEUTSCHE WELLEwamehamishia ubishi katika simba na Yanga.Hapa Sekione Kitojo, AboubakaryLiongo na Mohamed Abdulrahman mwenye shati la kitenge wanabishana wakiwakatika Pub moja jijini Bonn baada ya kazi.Ubishi ukaanza pale Aboualipopata simu kutoka kwa Mzee wa Baze bongo kuwa Simba imeshinda na sasafainali ni simba na yanga Simu ya mzee wa bazee mshambiki wa msondoilisambaratisha majadiliano waliyokuwa nayo juu ya mkutanao wa wakuu waafrika Accra na kuhamia dimbani.Mohamed Abdulrahman naibu mkuu wa idhaa yakiswahili ya dw ni yanga damu Gongo wazi toka enzi za mitaa ya ukami nakariakoo utotoni, wakati kitojo na liongo ni msimbazi wa kutupwa


MIMI NAISHUKURU SANA SERIKALI YA AWAMU YA NNE KWA KUENGEZA BEI YA MAFUTA (FUEL)
ReplyDeleteAHSANTE SANA MUHESHIMIWA RAHISI..... ENDELEA KUTULA ROHO ZETU
No Michuzi, hapo umenoa. Sekioni Kitojo ni Yanga wa kutupwa!
ReplyDeleteHawaogopi maNAZI
ReplyDelete