Home
Unlabelled
yunus
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hongera Mdau Iddi, ila mtoto machoni ana wanja? na hiyo hirizi mkononi ya nini?
ReplyDeleteMshikaji mbona kachoka hivyo...sura imekunjika...sijui jua la bongo ama ndio uzee umepiga hodi
ReplyDeletehaaaaaaa! kumbe iddi jenguo alioa michuzi mbona hujatupa picha hata moja jamani,kwenye hiyo chemsha bongo mi nitashinda naomba utafute picha moja tu ya harusi yao.
ReplyDeleteAh! Michu, huyu jamaa wakati anasoma shabaan robert alikuwa anapendelea kuvaa raba za kuchumpa. basi alikuwa akivaa raba adidas na soksi zinakuwa adidas. Alikuwa na dada zake aisee walikuwa wababe haoooooooooooooo!
ReplyDeleteHuyo mtoto wamemempaka wanja kwenye taji la uso au macho yangu! hongereni vijana.
Sasa huyu Idd kukaa marekani kumemsaidia nini kama anamvalisha mtoto wake hirizi ? Mtoto kavalishwa hirizi mara kachorwa usoni hiyo yote ni katika mambo ya ushirikina .....inatia huruma.
ReplyDeleteHongereni sana kwa kupata mtoto mwenye afya njema sana lakini dume la mbegu linaloandaliwa kuwa shoga inakuwaje tena? mhh hizo nyusi vipi mlikuwa obsessed sana na mtoto wa kike nini? jamanihivi vitu vidogo dogo haviitaji shule shurti mvione mkiwa chumbani kabla hata hamjamtoa kwa public.
ReplyDeletehaya weee mambo yote siku hizi mademu weupee, wakimanga manga, wakidosi dosi, wazungu au ma chotara(wakuchovia, half caste) hawahitaji mkorogo ndo maana naona wabongo wenzangu wanawafagiliaa. big up janguo na demu wako wakimanga.
ReplyDelete--- Mtoto Iddi wa Janguo Ndani ya Globu Tena ---
ReplyDeleteKaoa tarehe 15/01/2006 (http://issamichuzi.blogspot.com/2006/01/iddi-janguo-aopoa.html).
Siku mbili baade (yaani tarehe 17/01/2006) naona wakawa wamemaliza mwezi wa asali na kuingia nyumbani(http://issamichuzi.blogspot.com/2006/01/day-wani.html).
Haya bwana, kutahamaki hata mwezi tu haujaisha toka ndoa ifungwe tayari mtu ana mimba ana mimba ya miezi sita !! (http://issamichuzi.blogspot.com/2007/02/majibu.html).
Sasa hivi Inshallah mambo safi mwenyezi Mungu kawajaalia mwana.
Kaka Idi tumeshakufahamu Bwana, sio mbaya ukiacha sasa kuanika ishu zako na mke wako kwenye hii blog. Nahofia usije ukawa kama Mpakanjia.
mbona kama mtoto kavalishwa transister (Hirizi) mkono wa kulia? Au macho yangu! Hebu wadau nisaidieni hapo........
ReplyDeleteCongratulations Iddi and Wife...
ReplyDeleteMambo ya mzee small hayo..... Ebwana, we always remember you in Htown
ReplyDeleteMambo ya mzee small hayo... ebwana we always remember you in Htown
ReplyDeleteHuyo mtoto mkono wa kulia kavaa hirizi? Kwani kapatikana kwa ushirikina hadi avishwe hirizi?
ReplyDeleteAu wenyewe wanapenda ushirikina.
hongera Idi na Fauzia!
ReplyDeleteLakini my bro kwanini u like to publish ur person life so much whats wrong with u, u dont have confidence of urself mpaka watu wakusifie kuwa una mwanamke mzuri unamtoto mzuri au nini? its like ur making bussiness na unawasiwasi wapizani wako watatake over ur market. ebu jimovezishe kidogo since uko shule wewe ni kujiadvertise tu!!!!!
MKANDAMIZAJI!
ReplyDeletehuyu idi ndio nani? na amechangia nini katika jamii? michuzi kila kukija mara kaoa mara kapata mtoto whats wrong my brother? ebu asijaze nafasi tunahitaji kujua mambo ya watu ambao wanaweza kuwa mchango katika jamii!! nasikia alikuwa muhuni wa kutupa mpaka alikuwa anaishi na shoga. Bora agekuwa anatoa mchango, mfano nini kimemfanya ameacha uhuni na sasa amemrudi mungu na amepata mke mzuri na mtoto tugefurahi na wengi wagechukua mfano wake lakini akiweka picha yake na mkewe sisi hatupati ujumbe wowote is useless.
WADAU EE MNASHANGAA NINI, KWANI MNAISHI KATIKA JAMII GANI? COMPLICATION ZA KIISLAMU HAMZIJUI WAJAMENI?
ReplyDeleteHAPO MKITAKA JIBU MTAAMBIWA: SUNA, WANJA UNAZUIA MTOTO ASIPATE MAKENGEZA, MARA NYUSI ZIOTE VIZURI, HIRIZI MTOTO ASISHTUKE YAANI MAMBO MEEENGI KATIKA HALI YA KAWAIDA HUTAKAA UELEWE, ILA NDO MAISHA JAMANI WAACHENI.
ANKO MICHU NAJUA HII HUTAIPENDA USIPOIPOST NTAKUELEWA.
Jamani hebu mwacheni kaka wa watu. Msijifanye hamjui kwamba watoto hufishwa mvuje mkononi. Watoto wengi huvishwa mvuje. hata wahindi huwa visha watoto wao wachanga. Mvuje sio ushirikiana. Na sababu ya mtoto kuwekwa wanja usoni nikwasababu watoto wadogo huwa wanashituka. Sasa jamani tuacheni kuwa na chui bila sababu.
ReplyDeletehee kaka Iddi; Mke mzuri, mtoto kitu cha huakika. Congratulations. We miss you here in Texas. VIOLA
ReplyDeletemambo ya KIZAMANIIII kumvisha mtoto kihirizi > kingine mtoto wa kiume wanja wa nini?? We Jaguo na mkeo hamkwenda shule au ndio mambo ya ndumba hayo? baadaye akiwa shoga oooh sio sie wanja mmeuanzisha wenyewe tena bila haya soni mnaweka humu ili tusemeje ?Hebu badilisheni tabia acheki ushirikina na kumkandika wanja mtoto wa kiume !!!!!
ReplyDeleteTOA WANJA WA MTOTO USONIIIIII
WATNAZNIA BWANA WAMEJAWA NA WIVU SANA. KILA KITU HAKINA KASORO NDIO MAANA INCI HAIWEZI KUENDLEA. ETI MTU KACHOKA, MARA HIRIZI, MARA MKOROGO....WATU WAMERUDI NYUMBANI ANGALAU WANAENDELEZA NCHI YETU, SIO SISI HUKU KUBEBA MIBOX, NA KAZI ZINGINE HATA KAMA ZA MAANA LAKINI TUNALIJENGA TAIFA LA WATU WENGINE, AMKENI JAMANI WATANZANIA WAAFRIKA. KUWAKANDIA WATU NAO NI UCHAWI VILEVILE.....
ReplyDeleteSio Hirizi Nyie wajinga,
ReplyDeleteHiyo inaitwa Mvuje haihusiani lolote na kurogwa wala ushirikina hii ni dawa za watoto kuzuwia kushtuka shtuka zipo tangu enzi za mababu unabwabwaja huwenda hata wewe ulivalishwa mshamba we hirizi hirizi halaaaa.
Duh! Watu wanafanya wamesahau utamaduni wa makabila mengi ya Kitanzania kuwavalisha vichanga mivuje ili kuzuia kushtuka shtuka kwa watoto, ndio maana madawa mengi ya mitishamba yaliyokuwa yanatumiwa na mababu na mabibi zetu yanapotea bila habari!! Na mengi yalikuwa mazuri sana tena bila side effects.
ReplyDeleteIddi, wabongo noma ndio maana wengi hawapendi kutumia majina yao au kuweka picha zao hapa, maana watatafuta kasoro za kila aina ili wakunange hadharani nyuma ya pazia la anonymous!!! Watu hao hao wanayoyaandika hapa hawawezi kuyasema usoni kwako.
Jifunze kaka. Lakini kama huoni noma watu kukuandika vibaya wewe na mkeo basi mswano!!! wewe lete tu mapicha kila kukicha!!!
Wanja unapakwa ili kusaidia mtoto awe na nyusi, vinginevyo anaweza kuwa hana nyusi, acheni hizo wengine mnatema cheche hata watoto hamna!!!!
ReplyDeleteAnnony 6:13 "Watu wamerudi Nyumbani" He he hehe eeee uliza uambie usijisemee tu
ReplyDeleteMbona mtoto hata hajafikisha miezi mitatu yupo nje au ndio mambo ya kizungu tena
ReplyDeleteWewe anon hapo juu unaweza ukaelezea scientifically hiyo mvuje inafanya vipi kazi? ni jambo la kushangaza in this day and age people still follow those primitive ideology.
ReplyDeleteKweli Idd keep mambo yako ndani sasa. Kila siku uko huku atleast ulivyooa tukiona sio tabu.
ReplyDeleteUkioa wewe michuzi blog, ukiingiza ndani mke wewe michuzi hii picha, mke ana mimba wewe michuzi haya tena.
Hivi ni yeye tu anayeoa, na kuingiza ndani mke, na kumpa mimba na kuzaa mtoto....lazima tuone.....anaumuhimu gani sana huyu mtu
Wewe Tarehe July 2, 2007 6:17:00 PM EAT, Mtoa Maoni: Anonymous Acha Ujinga wako hapa, hiyo ni wazi HIRIZI, Mvuje ndio nini, si HIRIZI? Acha zako hapa. Kushtuka watoto wanashtuka toka miaka mbona wanakua tu bila hizo HIRIZI, au Mvuje. Acheni kuamini mambo ya ushirikina. Wewe Iddi unakuwa kama hujaenda shule vilee..?oppss...hii karibia na ukweli...Waldorf Kule ulikuwa unamaliza tu School fee ya baba tu? Au ulikuwa unamfuata N.H ahahaha?
ReplyDeleteAnon wa 3:16:00 PM,
ReplyDeleteInaelekea wewe ndio wale watu ambao wao wakija hapa ktk blog kazi yao ni kuwashambulia waislamu na uislamu. Nani kakwambia ktk uislamu (Qur'an na Sunna) kuna hirizi,uchawi au mambo ya ushirikina?
Uislamu HAUJAWAHI kuruhusu hirizi wala namna yoyote ya ushirikina kama vile sanamu (kama watu wa imani nyingine wanavyoziabudu na kuzivaa) au kumshirikisha Mwenyezi Mungu mmoja (ambae HAJAZAA WALA KUZALIWA)na kitu chochote au mtu yeyote (mfano kumuomba Mwana wa Adamu akatatulie matatizo yako wakati yeye mwenyewe aliumbwa na kutumwa na Mwenyezi Mungu mmoja kuja duniani kuwaongoza watu wa KABILA/JAMII YAKE WALIOPOTEA).
Kwahiyo kama unataka kujua hayo mambo ya hirizi nenda kijijini kwenu ukawaulize wazee wako wakupe majibu na sio uje hapa uanze kuongea mambo ambayo HAUWEZI kuyathibitisha HATA CHEMBE.
Acha upuuzi!
HIZI MVUJE MVUJE NI UJINGA TUUU NA WATOTO WANAOVAA HIZI MVUJE NI WA MAENEO FULANI FULANI KWANINI? NIMEKUA NIKIONA HIVYO, SEHEMU NILIYOKULIA HAKUNA MAVUJE HAYO
ReplyDeleteanony wa 6:13 July 2 sasa nchi itaendelea kwa MAVUJE,MBONA WATANZANIA TUNAPENDA KUJIRUDISHA NYUMA HIVI KWANINI MTOTO ATASHTUKA IWAPO AMESHTULIWA NA MTU AU SAUTI FULANI, PIA NI KAWAIDA IT HAS TO DO NA VITU ALIVYOONA MCHANA KUTWA SASA NI MARUDIO NDO MAANA ANASHTUKA.....ACHENI UJINGA MAVUJE MAVUJE KUSTUKA SI KOSA!!!! WOTE MNAOVALISHA MVUJE MNAOGOPANA MAANA MNAROGANA NA HIZI ZIPO MITAA FULANI FULANI TU SI KWA WATU WALIOENDELEA KIFIKRA NA KIAKILI UJINGA MTUPU HUU
ReplyDeletemkandamizaji!
ReplyDeletehuyu mdau aliyesema kuhusu complication za kiislam. naomba nimwambie haujui uislam mzuri ndio maana anaropoka uislam unapiga sana mambo hayo ya mvunji na kazalika. hayo mambo ni culture za watu bwana na sio uislam. nakuomba usirudi kujudge kitu kupitia dini usizo sifahamu. uislam hauna complication kama unavyofikiria. culture na uislam ni vitu viwili tofauti.
oyaaaaaaa wadau mbona mnakandia sana kuhusu huo wanja?hamjui kama wanja ni sunna ya mtume?oyaa jibaa Idd usikonde wala nini najua sisi halafu ukifa wataanza kukufagilia
ReplyDeleteMIMI NIMEMZIMIA MKE WA IDDI MAANA NA MDOMO KAMA ULE WA ANGELINA NA NATUMAI KWAMBA ANAWEZA KUUFANYIA KAZI IPASAVYO............
ReplyDeletekansas city
NI KWELI TANZANIA HATUTAENDELEA KAMA BADO TUTAENDELEA KUAMINI MAVITU YASIO NA A WALA B, IWE UTAMADUNI OR NOT. UTAMADUNI MWINGINE HAUSADII CHOCHOTE NI IMANI ZA KICHAWI, KISHAMBA NA ZISIZOKUWA NA A WALA B. SASA MTOTO MVULANA KUPAKWA WANJA NDIO NINI, AKIJA KUSWAGWA UTASEMAJE, UKOKUSHTUKA KUNA ZUIWA NINI NA HUO WANJA? WHAT THE SCIENTIFIC REASON BEHIND THAT? MBONA HAO WENGINE WASIO NA HIYO IMANI WATOTO WAO HAWAFI KWA KUSHTUKA, KUSHTUKA IS ONE OF GROWING PROCESS, HIYO IRIZI HOO MVUJE NDIO HAYO HAYO NO MATTER WHAT YOU CALL IT, IRIZI OR MVUJE VYOTE SAWA, WAKATI WAKE UMEPITA, KIKAMBA KITAJAA JASHO HICHO MTOT ATAKILAMBA , WATU WAZIMA WATAMSHIKA MTOTO NA MABACTERIA WAO HUJUI WAMEJISHIKA WAPI , MTOTO ATALAMBA BAADAE ATAKUJA KUHARISHA NA KUUMWA VIBAYA HATA KUPOTEZA MAISHA KWA MABACTRIA YASIYO NA A WALA B. KUMBE MMEJILETEA WENYEWE HOO MVUJE. ACHA USHAMBA IDD!! AND OHH PS: GROW UP PLEASE KILA MTU ANA ZAA, NA HUYO MKE HUO UZURI SIUONI NAJIONEA KOMWE TU NA USO ULIONYEUKA!! HAMJA ONA WAZURI NYIE. HUYO IDD MWENYEWE JUA KALI UZEE UNAPIGA HODI KAKA NO WHERE TO RUN. mHHH MHHH PLEASE FOR ONCE STOP THE PRIMITIVE IDEOLOGY!!!
ReplyDeleteMambo mengine ni mila jamani. Msijitie uzungu, na kusahau tuliko toka. Ndiyo maana hatuendelee.kuhusu Iddi kupigwa picha imekuwa nongwa. Wangapi wanawekwa humu harusi, watoto n.k . Mtafanya sasa watu wakimuona michuzi na kamera yake wamkimbie.
ReplyDeleteHAya ni mambo ya kiswahili, yani tatizo ni uswahli unao ambatana na uislamu, haswa ukizingatia uswahili ni wa kipwani na wapwani wengini waislamu ,
ReplyDeleteSija wahi pakwa wanja na mbona nina nyisi, sija wahi kuvalishwa hilo dude sijui hirizi auni jini , ili nisishtuke, na nime kua vizuri tuu.
Toka lini kamba ikazuia kutoshtukla kama haina nguvu za giza au ainafulani ya uganga wa kimazingaombwe?
Iddy hebu staarabika acha mambo a kwua za mtoto wako atalogwa sababu eti ume zaa na mwarabu nusu, il sio siri mecheza kama pele maan mama mtu angalau kaokoa mtoto, la sivyo angekuw ademu na ange fnana na wewe ingekuwa ishu,
Lazima na mimi nitafute mwarabu au mzungu angalau mtoto afanane a mama yake, akifanana na mimi duh sijui nitajificha wapi!
Aaah Kuna wajinga wawili humu ndani na COMMENTS zao ni hizi hapa chini.
ReplyDelete• Tarehe July 2, 2007 5:14:00 PM EAT, Mtoa Maoni: Anonymous
Jamani hebu mwacheni kaka wa watu. Msijifanye hamjui kwamba watoto hufishwa mvuje mkononi. Watoto wengi huvishwa mvuje. hata wahindi huwa visha watoto wao wachanga. Mvuje sio ushirikiana. Na sababu ya mtoto kuwekwa wanja usoni nikwasababu watoto wadogo huwa wanashituka. Sasa jamani tuacheni kuwa na chui bila sababu.
• Tarehe July 2, 2007 6:17:00 PM EAT, Mtoa Maoni: Anonymous
Sio Hirizi Nyie wajinga,
Hiyo inaitwa Mvuje haihusiani lolote na kurogwa wala ushirikina hii ni dawa za watoto kuzuwia kushtuka shtuka zipo tangu enzi za mababu unabwabwaja huwenda hata wewe ulivalishwa mshamba we hirizi hirizi halaaaa.
Hivi wewe unayetujia humu na kutuambia hiyo ni MVUJE maana yake ndo nini?? We unaona dhahiri motto amefungwa kitambaa cheusi mkononi alafu unatuambia mvuje mvuje mvuje, shame on you. Yaelekea wazi hiyo ndo mila yenu nyie wote wawili na inatuonyesha wazi hata hayo madaraka waliyonayo wazazi wenu ni ushirikina mbele Mungu nyuma, wacheni kutudanganya humu mara mvuje mara wanja motto asishituke he, hebu nambieni ni watoto wangapi wamezaliwa na hawajawahi kufungwa hayo mahirizi na wala kuchanjwa chale ya aina yeyote ile mpaka wamekuwa wakubwa na wapo na wanaendelea na maisha kama kawaida? Wacheni kuamini vitu visivyo na manufaa.
Naomba kuwasilisha
Naona wote watatatu wamepooza sana.Ni kama vile wote ni wagonjwa wa ugonjwa wa ...............
ReplyDeleteAu ni kamera ndio imewapiga vibaya hadi waonekane kama wanaumwa vile?
Kama ni kweli wanaumwa msiwazomee na hizo hirizi ni katika kuhangaika kutetea uhai!
Si mnajua watu wakiumwa ugonjwa hasa wa nani hii........Hugeuka ghafla kuwa ama waswalihina wa Kiislamu au kikristo au hugeuka ghafla kuwa washirikina au vyote ili kutetea uhai waendelee kuishi kwa matumaini.
kwa kweli ht mie nimeshangazwa na hilo dubwana alilovalishwa mtoto....wengine kusema haihusiani na uchawi???!..kwa kweli kisayansi hilo livuje sijui hirizi mtu hawezi kudhibitisha linavyofanya kazi!...so itakuwa mambo ya ndumba tu haya!!!...inasikitisha km mtu hadi kukaa nje/kupata 'exposure'bado anaamini mambo ya UCHAWI..kwa kweli ni AIBU!!1
ReplyDeleteNa huyo idd akome kutangaza mambo yake hadharani...ona sasa alivyojiexpose mpaka watu wamejua na yeye kama ana shiriki kwa sangoma!!!!!!hovyoooooooo!!!!
Anon wa 3:51 am,
ReplyDeleteFungua macho na usome maoni yote hapo juu yako. Inaelekea uko misinformed about Islam. Kazi kubwa ya Islam ni kuzuia ushirikina (yaani kutomshirikisha Mwenyezi Mungu mmoja na kitu chochote au kuabudu/kuamini kuwa kuna mtu au kitu kingine zaidi ya Mwenyezi Mungu ambacho chaweza kukusaidia).
Kwahiyo ktk Islam hakuna HIRIZI,ROZARI wala MVUJE. Pia hakuna "kumuabudu" Mwenyezi Mungu kwa kutumia "mhayahudi" ambae ni binadamu mwenzetu.HUO NDIO USHIRIKINA MKUBWA KULIKO WOTE!
Nijuavyo mimi makabila YOTE ya Kibantu yanafanya hivyo vitu tangu Afrika ya Kusini hadi Uganda, Somalia hadi Nigeria. Halafu ujue hata nawe pia ni "mswahili". Lugha gani unaongea? Unasalimia watu na kusalimiwa kwa maneno gani?
Halafu ujue hakuna UHUSIANO WOWOTE kati ya Islam na "uswahili" unaousema. Dini ya Islam ilikamilka kati ya mwaka 610 AD na 633 AD na haina nyongeza hata kidogo BAADA YA HAPO.Inaelekea haujui chochote kichwani mwako ndio maana nakujulisha uelewe. Lakini endelea tu "kumwabudu" Paulo na ujinga wako!
Tumia ubongo kufikiri na sio "nguvu za box" maana box wengi twapiga ila akili tunazo.Au mwenzetu hadi degree moja hauna kichwani?
Jamani kama wamempaka wanja mtoto wao nyie kinawauma nini? Mbona wenu mnawapaka maskara,lip shine,rangi ya kucha na hata mnawasukia nywele za marehemu/katani(rasta).
ReplyDeletehuyu bi mvuje/babu mvuje mi nadhani ndo mchawi wao. Mtoto kushtuka inadhuru nini? mtoto lazima aadapt mazingira mapya. katoka tumboni ktk kimfuko kilichomba sasa kazaliwa yuko kwenye open space lazima ashtuke na si ugonjwa! kwanini atafutiwe dawa. hawa wazazi ni wa hovyo sana wanja mtoto wa kiume, na doa katikati ya uso ka mwali kachorwa hina? kibaya tu hawa watu hawarekebiki. na huyu baba mtoto nimedharau sana.
ReplyDeleteMAMBO MENGINE MSISEME KAMA HAYA MJUI UNAWEZA UKAWA MUISLAM NA HUJUI UISLAM.KWA SISI TUNAOABUDU SANAMU AU MWANA WA ADAM KAMA MSHAMBA MMOJA ALIVYOSEMA HAPO JUU.HUJAWAHI KUONA MTOTO/WATOTO WETU WAMEVAA HIRIZI KARIBU WOTE WANAOVAA HIRIZI NI WAISLAMU NA COMPLICATION ZAO HATA UTAKE UITAKE.MAANA MTOTO ANAWEZA KUSOMEWA ALBADILI,KUTUPIWA JINI NA MENGINE MENGI KAMA KAWAIDA YENU YOTE HAYO YANATOKA KWENYE KURAHANI.SASA UNAFIKIRI KWANINI ASIMVISHE MWANAE HIRIZI HATA KAMA UMEKAAA MWEZINI BADO UISLAM UPO PALEPALE NDIYO MAANA MNAUA WATU OVYO NENDA BASI NA WEWE IRAQ AU TALEBAN,AFGHANISTAN KAMA UNAJUA SANA UISLAM.
ReplyDeleteUkijaliwa kutemea ulimwenguni na kuona culture zingine ulimwenguni kuna mambo mazuri ya kuiga na kuna mabaya ya kuwaachia wenyewe.
ReplyDeleteWewe Iddi kukaa kote marekani hukujifunza kitu?
1. Bay la USA wanawatoa watoto wao nje mapema sana..jua na immune zao zinakua bado strong bado lakini mama nahamu ya kwenda kwenye park hivyo mtoto lazima naye aende. Watoto wengi sana wanavaa miwani kuliko nchi yetu ambayo jadi zetu zinawafanya watoto wasione mwanga au jua mpka macho yamekomaa kidogo. WEWE IDD HUKUMFUNDISHA MKEO HILI. Mtoto hata hajafikisha sijui siku ngapi yupo mitaani.
2. hayo mawanja mtoto bado ngozi yake ni laini. Mawanja yanamatoxic chemical ya nini? Don't you know that eye shadow has been found to be tainted with both lead and microbiological contamination???
Culture yetu ina mazuri mengi tu ya kukeep na mapaya mengi ya kutupia mbali
Duh sasa mshafika mbali mtoane roho bure jamani yule ni nzi katua juu ya paji la mtoto(nina uhakika michuzi hukuipiga hii huwezi kurudia kosa mara mbili) na nyusi ni zake kachanganya damu ndio maana zimekuwa nyeusi vile na hako ka bracelate kana leta maneno tena jamani hebu angalieni vizuri.
ReplyDeleteidi mambo mimi rafiki yako nilikuwa zenj kipindi fulani hope utakumbuka nani. hongera sana upendeza sana. Mkeo na mtoto wako bomba sana. family bora. nimekumiss ebu nigongee simu siku moja
ReplyDeleteHivi kwanini ktk tukio lolote akiwepo muislam watu waanza kuishambulia dini yake lakini akitokea mkristo waislam hawamshambulii kwa kutumia dini? Sio udini huu? Hivi jamani watu wangapi wanawapaka wanja watoto wao? Watu wangapi wanavalisha watoto wao hirizi? Hiyo mivuje na mavi ya tembo wanayoyavaa mkononi ina uhusiano gani n uislam?
ReplyDeleteNadhani watu wengi hawana exposure na mila za makabila ya kiafrika na pia hawaujui uislam na wala hakuna mtu anajishughulisha kujua chochote ambacho anahisi "kipo mbali" nae.Au ni kwamba tuna elimu na upeo mdogo wa ufahamu?
weee anony wa 9.02pm ustake kutufanya wajinga????kuna njiaa za kutetea hao kwenye picha sijui marafiki zako bila kutufanya sie tumeona ndivyo sivyo sawa???...eti inzi katua/bracelet mtoto kavalishwa???iweje umvalishe mtoto wako wa kiume bracelet?? tena nyeusi????.....hawa wamekosea na ni wajibu wetu km jamii kuwakosoa!!...usituletee ujinga wa nadharia hapa! sawa?? dont ever think e'one is as daft as you are..!
ReplyDeletemmoja wao kala ubuyu wa rangi
ReplyDeleteJamani mambo ya dini vipi tena? Mbona kuna Rais wa awamu fulani hapa kwetu alipigwa picha nyiingi akiwa kavaa 'transista' na baadae ndio tukaona cheni ya gold? Mbona hawakumwandama na dini yake? kweli inaonyesha jinsi watu wengine walivyo na upeo mdogo. Acheni kurukia tamati (jumping to conclusions. Huo ni udini haswaa na tena inaonyesha ni nani wadini kati ya jamii hizi mbili.
ReplyDeleteJamani! Ndio maana ata Lady Jaydee amewaambia SIKU HAZIGANDI!!!!! Mtasema weeeeee siku zinaenda mwenzenu hatobadilika anazidi kuwa matawi yajuu huo wote ni WIVU! Mnachojifanya kushangaa nini alichovalishwa mtoto? hamjawai kuona? yule ni mzaramo mnategemea nini? Acheni kukandia bila sababu za kimsingi watu wabaya sana tena c ajabu mnaoandika comment ni marafiki wa karibu...Hampendi mwenzenu kuuza sura c nanyinyi muuze zenu? Mimi namfagilia michuzi weka nyingi tu tuwaone!Mnachonga sana mlimsimanga chifupa namaneno na alifika mbali! bado mnachonga acheni mlomo! IDDY SAFI SANAA!IKIFIKA BTHDAY YA MTOTO MWAKA MMOJA MUALIKE MICHUZI TUONE PICHA!! NAKUFAGILIA SANA
ReplyDeleteHebu kuwa muwazi , mambo ya kuficha yamepitwa na wakati, ni Rais gani huyo alikwua na hiyo sijui mjuve au hirizi?
ReplyDeleteIddy huo uzaramo wako na wewe umezidi, yani mswahilii, na mkeo Mwarabu nusu ndio kabisa mmekuwa washahili kupita kiasi ,mbaka mnamvisha huyo malaika hilo ji hirizi eti mwaita mjuve, jamani hebu kueni wastaarabu dah!
Aaa kwa nini habari za jamaa huyu ni nyingi kwenye michu blog etc. Kwani ninyi hamuoni kuwa wanafanana sana.
ReplyDeleteIf you don't know now you know.
safi sana kijana umeo.sas utulie.lakin huu ushamba wa kuweka hadharani maisha yako na kutaka uonekane kwenye blog mara magazeti labda ungeacha. sasa unamtia hatarini mkeo na mwanao.au umesahau ule ushaenzi ulikua unafanyia watoto wa kike juzi kati?usipoangalia wanaume zao watakulalia mke.Swala moja tu nawauliza wana bogi,ivi ni hospitali gani na doctor yupi anaetoa izo dawa za hirizi ama kama mnavoita mvije?samahan km nimekosea jina
ReplyDelete