hii si foleni katika mtaa mmoja hapa kampala bali magari ya hapo katikati na ya pembeni kulia na shoto ndo yamepaki na ya kwenye njia ndo yanatembea...na wenye vi-vespa kaeni mkao wa kula maana sasa hivi mtaanza kutozwa kodi ya leseni na mambo mengine kama kawa, kwamujibu wa ndoto niliyoota usiku kuamkia leo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. heeeeee! i like that parking iko njema ile mbaya, na yale kule ya blu ndo twin tawa zao.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...