Home
Unlabelled
hamazzzzz
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Jamani hizi picha za hammer zina kera sasa nyie mnao mtumia kaka michuzi mnauzi sasa
ReplyDeletekama Hammer ipo hata dizaini hiyo ya kuburuza tumbo chini, basi nawa omba wapinganaji wetu wa kiwanda cha kuzalisha magari aina ya Nyumbu ya JWTZ waanzishe kitengo cha magari ya kibiashara, kwani dizaini zake nina uhakika ni kiboko, angalieni gari apandalo amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama Mh. Raisi wa Tanzania akikagua gwaride kwa Nyumbu, je wadau mnasemaje?
ReplyDeleteMdau
Londoni.
Ndugu yangu sio kila kitu kinachotokea hapa kitakuwa kinakufurahisha, hiyo itakuwa ngumu sana ndugu yangu.
ReplyDeletejamani acheni ushamba..hilo gari linatumia air bag , limeshuka ili abiria wapande, wakati wa kuondoka linapanda juu kama prado..wabongo ng'azeni macho mambo ya teknolojia hayooo.
ReplyDeleteKwa kweli ni ngoma mdundo, lakini swali ni je Bongo yetu litapita barabara gani. Maana si unajua tena hata pale barabara inapopitika basi utakuta tuta hilo! Hapa bwana we njoo na jeep tu, utapeta lakini ngoma hiyo ni kujisumbua tu.
ReplyDeleteWashikaji eeh,hiyo Hammer inafaa sana Tanzania hasa jijini Dar maeneo ya Mbagara rangi tatu.Na kama litafanya kazi kama daladala itakuwa bomba zaidi.
ReplyDeleteMajita
Kwani hakuna mambo mengine ya kutamani yawe bongo ?kama barabara nzuri,huduma nzuri na maisha bora ?kuliko kila siku kuweka picha za magari na kujifanya tuko level ambayo hatujafikia? Infrastructure jamani ndio muhimu mengine yatafuata baadae.
ReplyDeletegari zuri tatizo lina rangi za simba.
ReplyDeletehilo linafaa kuwa kipanya,hasa kigoma kwetu pale,ujiji hadi stesheni,juu limepakia vitebo vya dagaa na mugebuka.
ReplyDeleteANAYOTUMIA JM KIKWETE NI HAMMER KAMA ZA KULE GHUBA KWENYE VITA NA SI NYUMBU !
ReplyDeleteMzushi