mama motika, mama mzazi wa mista ebbo, akiimbisha nyimbo kwenye sherehe. si ajabu kumbe mwanae kuwa na kipaji cha uimbaji


mzee motika na mai waifu wake wakitambulishwa kuwa wazazi wa nyota wa muziki mmasai mista ebbo ambaye kwanza alitingisha kwa kibao chake cha 'mi mmasai' na kufuatia na 'kamongo' ambayo amekitengeneza kwenye studio zake za motika records iliyoko tanga

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. aisee baba ebbo kanikumbusha enzi za former Kenyan president Arap Moi.(Harambee Nyayo)

    ReplyDelete
  2. Mr. Ebbo kachukua sura ya mama yake kabisa!

    ReplyDelete
  3. ISSA VIPI Mr EBBO KAVUTA MZIGO

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...