dead prez wakikamua juzi british council, dar
wadau wakiwashangilia dead prez
mmoja wa waratibu wa ziara ya dead prez, rhymson, akiwatambulisha wasanii hao juzi kwenye shoo ya wazi ilofanyika british council. jumamosi marapa hawa wa andagraundi watakamua klabu ya jj blue. habari zao zaidi bofya hapa
Zavara! Nimekuona kaka, hongera sana! Lini utarudi nyumbani Iringa? Utukumbuke kwa kutuletea wasanii japo waje kuangalia wanyama huku Ruaha National Park. Hivyo basi, wanaweza kusaidia katika mzunguko wa shilingi hapa Iringa. Naam! Mtu kwao.
ReplyDeleteI like what you are doin,thanks for the deadprez pics,peep my blog for their Kenyan tour!!
ReplyDelete