Home
Unlabelled
fundi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Yaani michuzi hilo shati unalipendea nini? banange hakuvuti mguu usitoke nalo jamani nahisi anajaribu ila wewe mbishiiii au lina hirizi ya kutoa picha vizuri usilivae tena 2008
ReplyDeleteHili shati kaka unalipenda, au kwakua Mulamu alilisifia?
ReplyDeleteKabla ujaenda Uwanja wa Taifa--Kwanza kula five kwa Bwawa la maini kufanya kweli.
ReplyDeleteshati babu ilo litapauka..!!
ReplyDeletepoa tuu...luku isije kata moto
ReplyDeleteHaiwezekani Michu awe na shati moja tu.Nabisha.Mimi naamini Michu ulinunua mashati kama kumi hivi yote yanafanana na hilo.Uongo michu,au unafikiri ukivaa mashati mengine wanakijiji watakusahau.Poa lakini mtu wangu,kwani shida nini ,si kuvaa tu?lakini si unalifua fua mara mojamoja au?
ReplyDeleteMajita
Usimuone Michuzi na shati lake hilo mara kwa mara ana malengo yake makubwa sana ndiyo hapendi kununua nguo nyingi.
ReplyDeleteHEE!!!HILO SHATI VIPI, AU LINAHIRIZI???
ReplyDeleteimetulia
ReplyDelete