Home
Unlabelled
jk na taifa stars
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Makobasi...
ReplyDeleteBongo tumejaaliwa tuna rais mpenda wananchi wake habagui lakini ndo hivyo tena waosha vinywa kibao.Kila la kheri Taifa Stars.Mungu mbariki rais wetu umpe nguvu anapenda wananchi wake lakini wabongo mmmh.....
ReplyDeleteBonge la Rais!! Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Taifa Stars!
ReplyDeletenimemind vi malapa sasa hivi wawaangaliwe sana hawa wananchi ni watu muhimu sana wanawezakuingiza kipato kizuri sana cha nchi mpira unaleta amani na mshikamano sana kwa wananchi siunaona drogba alivyofanya angola mungu saidia Timu yetu
ReplyDeletemalapa ndio fashion kwa wanaume sasa hivi bongo? naona kila mwanaume analo...lapa mbele ya mtukufu raisi wetu..
ReplyDeleteJamani raisi wetu handsome!! Na anajua kujenga moyo wa vijana wa hili Taifa. God bless Tanzania, God bless Taifa Stars...
ReplyDeleteHuyu ndo rais wa maana check pamba zake! hajali ni mtu wa kazi!
ReplyDeletemdau Tyler Texas.
BIG UP TAIFA STARS, TUPO PAMOJA LEO,KUSHINDA NI MUHIMU LKN KATIKA MCHEZO KUNA KUFUNGWA NA KUFUNGA KWA HIYO MATOKEO YOYOTE YAKITOKEA NAOMBA WA TZ TUKUBALIANE NAYO,. NA JK NAOMBA UENDELEE NA MOYO ULIONAO MUNGU AKUJALIE AFYA NJEMA NA MAISHA MAREFU. AMIN
ReplyDelete