Home
Unlabelled
lidaz
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kwa matilaba hayo ina maana tutaweza kuona kwenye jumptv au?
ReplyDeleteNadhani assumption hao waandaaji waliyofanya ni kuwa mvua aitanyesha ..
ReplyDeleteKWA RUKSA NILIYOJIPA MWENYEWE NAOMBA KUWATANGAZA WASHINDI WA MISS TANZANIA.
ReplyDeleteANAYEONDOKA NA HILO GARI YUZDI NI MISS KINONDONI 2007(MTZ MWENYE ASILI YA KIDOSI)
MSHINDI WA TATA KANDA YA NYONYO KAMA TULIVYOZOE MAAMUZI YA MAJAJI KILA MWAKA.
LEO TAIFA STARZ WANASHINDA 3 MDUARA
Hapo lazima jamaa wameshapiga Ramli kwa mganga wa kienyeji kuwa je Leo Mvua ipo? kama ipo izuie. Ee bana Ikianguka katikati ya show patakuwa hapatoshi hapo
ReplyDeleteNdaki,kati ya vitu vilivyomwangusha Salim Ahamed Salum wakati wa mchakato wa kumpata mrithi wa Mkapa ni hiyo naniiii yake.Ngoja leo tuone sasa kwenye huo mpambano na utabiri wako wa miss kinondoni.Akishinda yeye baaaaaasi,Obama kala dume.
ReplyDeleteMajita
Ndaki you are the best!
ReplyDeleteSasa mshkaji, hebu nitabirie lini mambo yataninyookea wangu, nahangaika shilingi haishikiki!
hebu nitabirie nikae mkao wa kula.