afande tibaigana alikuwa macho saa zote kusimamia ulinzi jana pale neshno

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. KAMANDA TIBA!
    ULISHEMSHA KWENYE UTARATIBU WA KUPANGA MAGARI,MAGARI YALIKUWA NJE NA BILA YA ULINZI WA ASKARI WETU NI VIJANA TU WA MTAANI WALIKUWA NDIO WANAPANGA MAGARI.NA NDANI PARKING ZILIKUWA KIBAO YANII ZA KUMWAGA.ZAIDI NDANI YALIPAKI MAGARI YA KUMWAGA MAJI YA UPUPU KWA WANA WA ADAMU ! KWANI SISI TULIKUWA KWENYE MAANDAMANO YA SIASA ? WABONGO SIE WASTAARABU KAMANDA ! TUMEENDA KUSTAREHE KWA GHARAMA YETU.WAKATI UJAO SHIRIKISHENI WADAU WANAOELEWA SHUGULI SIO KUNGANGANIA JAMBO WEEE KAMA VILE HAKUNA WASHIKA DAU WENGINE.JARIBU PATA USHAURI TOKA HATA CLOUNDS FM NA FIESTA ZAO WATAKUPA MIKOBA KAMANDA ! NA TFF NDIO HOVYOO KABISA TICKET ILIKUWA KERO VITUO VICHACHE SASA KAMA NI TONGOTONGO SASA ZIMETOKA CHANGAMKIENI SASA NEXT MATCH NA TUNATAKA SEAT NUMBERS.

    Michezo ni furaha !

    Mzushi

    ReplyDelete
  2. oya LAMBART naona mzee anafanya kweli pale national na ana-represent kama mzalendo...je party na a-town ilikuwaje je ulifanya kweli? karibu sana KC ili uje utupe mavituz kama yale uliyoyafanya wichita na MR. II a.k.a SUGU mwezi wa saba

    ReplyDelete
  3. Alikamata na ku 'arrest' wangapi?

    ReplyDelete
  4. SHOUT OUT KWA SIS REYDE N ESCO,I SEE POPS Z ON MOVE..

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...