umati mkbwa wa wadau uliijaza neshno leo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Ni kweli Uwanja Ni Mzuri Sana Sana!...Lakini Ukweli Ni Kwamba Uwanja Haujaisha Kama Wanavyosema Umeisha, Kwani Vyooni Maji Ya Kusukumia Uchafu Hayatoki Hasa Kwenye vyoo vya siti za bluu tulipolipia elf 2o,

    Pia Drainage System Sio Nzuri Maji Yalikua yamejaa kwenye Baadhi Ya Masink Ya Kunawia Mikono hayaendi kunakotakiwa!

    Mwisho Utaratibu wakuingia pia haukua Mzuri Sana!

    Tunahitaji Kujipanga Tuzibe hayo Mapungufu!

    Izz Wa

    ReplyDelete
  2. Ni Baaaab Kubwa, Umati unavutia na Uwanja umependeza. Zaidi ya Kuiona Mechi hiyo Wapenzi na Washabiki wa stars wana kila sababu ya kujivunia ya kuwa miongoni mwa watu wa kwanza kuingia na kuona mechi katika uwanja huo mpya.

    ReplyDelete
  3. IZZ WA NAKUSHAURI KITU KIMOJA. VYOO VYA UWANJANI SIYO MAHALA PA KUACHA MIKIMBA YAKO ULIYOLIA UGALI WA KUCHOMA NA SAMAKI WA KUKAANGA.
    UKITAKA KWENDA UWANJANI, JISAIDIE HAJA ZAKO ZOOOTE HADI ZIISHE NDIYO UENDE UKAANGALIE MPIRA.
    UBANE MAVI NA MKOJO WAKO NA HIMA HIMA MPIRA UNAPOMALIZIKA TU, NENDA KWENYE BAA ZA KARIBU NA UWANJA WA TAIFA UKAAOMBE CHOO UJISAIDIE. TEH TEH TEH TEH UNATAKAA KUCHAFUA VYOO KAABLA HAVIJAANZA KAZI. TEH TEH TEH

    ReplyDelete
  4. Mmmh hapo mimi siingilii kitu.huyo mshikaji anaemjibu Izz Wa kanimaliza kwelikweli.Ila niliposoma hadi chini wajameni nimelipuka na kicheko kwelikweli.

    ReplyDelete
  5. Si ajabu kila mtu alikimbilia chooni wabongo bwana mpaka vikafurika.

    ReplyDelete
  6. Cha msingi ni kwamba WASISAHAU SINDANO YA GANZI kabla hawajasema zimepatikana Shilingi ngapi. Sababu maumivu yake nayajua... O'C-Sinza.

    ReplyDelete
  7. Mmh! Furaha kubwa kuwa na uwanja huo jamani lakini bado nalia na usafi wa vyoo. Hii elimu ya usafi hivi tunatakiwa kwenda darasani au tuzaliwe nayo??? Najua Dar maswala ya vyoo huko uswahilini ni tatizo mtu anabadi hadi ofisini, au kama hapo Nesho lakini sio mbaya. Hifadhi hiyo haja panapostahili sio juu juu!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...