dk. joseph mbatia, mume wa hayati salome mbatia, alipokuwa iringa kuchukua mwili wa mkewe jana. kwa picha zaidi kutoka kwa mdau maggid mjengwa aliyeko huko iringa bofya hapa
dk. joseph mbatia, mume wa hayati salome mbatia, alipokuwa iringa kuchukua mwili wa mkewe jana. kwa picha zaidi kutoka kwa mdau maggid mjengwa aliyeko huko iringa bofya hapa

MAY GOD REST HER SOUL IN PEACE
ReplyDeleteAMEN
Mungu wangu, kweli Remmy hakukosea kuimba kifo hakina huruma! Jamani huyu mama sitamsahau maana ni tofauti kabisa na mawaziri wengine, always alikuwa ni mtu wa watu na pia mtu wa kujichanganya, mpaka ugundua ni waziri, shughuli imefanyika!! Alikuwa haringi kabisa jamani!!
ReplyDeleteAnyway tunamwombea safari njema katika ulimwengu wa roho kwani sote tu njia moja tatizo hatujui nani atatangulia!!