Home
Unlabelled
simba
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Simba yenyewe kwenye ligi hali yake ni sawa na mtoto KAYUMBA.
ReplyDeleteTukiwafunga hiyo tarehe 24 hilo jina ndiyo litakuwa rasmi SIMBA KAYUMBA.
Na nyieYANGA mtaitwa YANGA - YATIMA maana huyo mliyekuwa mnamshobokea eti baba yenu (MANJI) KAWAKATAA!!
ReplyDeleteUshasema Tukiwafunga ushajuwa haiwezekaniki Siku ya Siku inashallah ikifika Simba 2 yanga 0 Eid Mubarak Yanga Inajulikana kama MDebwedo simnajijuwa kama Nyie Yanga AkA Mdebwedo A.k.A YeboYebo A.k.A Malapa mabovu.
ReplyDeleteWewe kwanza Yanga gani???Ya manji au ya madega???Simba hata akicheza na Dalali golini nyie mtafungwa tu.Miaka saba mmefungwa.Simba heri afungwe na Mbagala United kuliko na vibaraka wa kihindi.Heri kuwa na njaa kuliko kuwa mtumwa wa wahindi.
ReplyDeleteSimba akishinda huweki kwenye blog.Akifungwa unaweka saa hiyo hiyo.Kuwa mkweli sema wewe Yanga kwani kabla ya Pan kuundwa kutokana na mgogoro wa Yanga ulikuwa timu gani???Au ndio wale waliowafuata Mzee Mangara na Shiraz Sharif.Hata usipotoa comments zangu jaribu kuwa fair ili watu waendelee kuamini kwamba hii ni blog ya wote bila unazi na ushabiki.
ReplyDelete