mh. yusuf makamba alipokuwa mkuu wa mkoa wa dar alipiga stop daladala kuweka wese sheli zikiwa na abiria ndani ili kuepuka maaf endapo kukitokea moto. siku hizi amri hiyo imeshakuwa historia

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Usijali Michuzi Sheria tutairudisha pale tutakaposikia kuna kituo kimelipuka na kuchoma watu wote ndani ya basi ndio tutarudisha sheria hiyo tena kwa hiyo huo ndo utaratibu wetu ndugu yangu.

    ReplyDelete
  2. Kaka michu unakuwa kama mgeni bongo.

    Jiulize leo hii mambo ya speed gavana yapo wapi?

    Hapo mpaka maafa yatokee kama alivyosema anony hapo juu then ndio sheri zitaanza kufuata mkondo wake.

    Inasikitisha na ni hatari sana.

    ReplyDelete
  3. walaaniwe hao wanaovunja sheria na vyombo vya sheria visivyofuatilia sheria ikae sawa. Wataamka siku gari likilipuka na kuua watu.

    ReplyDelete
  4. Hiyo ya gari kuungua sheli haijawahi kutokea sijui makamba katoa wapi amri zake hizo za kishamba,it doesn't make any sence.Gari mbovu zinaua watu kila siku kwanini hatua zisichukuliwe?

    ReplyDelete
  5. wewe unaishi wapi aua unaangalia news kwa vile haijatokea tanzania basi hilo ni jambo la kushangaza. Mara nyingi sana magari yameungua kwenye vituo vya mafuta. Kama tanzania haijatokea basi tusikae kusubiri itokee na kuua watu

    kam sheria ni no...basi ifuatwe

    ReplyDelete
  6. Bro "Michu" Mwambie Dereva awe anafutaga ilo vumbi katika iyo Dashi bodi ya Gari yakooo!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...