baada ya staaz yetu ya urusu kuibanjua angola 2-1 juzi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Wadau wa moscow namtafuta mshkaji wangu mmoja anafanya medicine hapo,anaitwa Siza Mwangosi
    mpeni email yangu wadau tafadhari
    juniorcedric@yahoo.com
    mdau-PUGU BOYZ aka shule ya viongozi wa bongo!

    ReplyDelete
  2. Samahani Mdau ambaye haujataja jina! Ombi lako limenitonesha kidonda changu! kwani ndugu yetu Siza ambaye unamtafuta, nina masikitiko makubwa kukufahamisha kuwa Alifariki dunia mwaka jana kwa Ajali. Alikuwa kwenye Bus akisafiri kutoka Volgorod ambapo alikuwa anasoma kuelekea Stpetersburg. Alikuwa anakuja Stpetersburg kututembelea sisi rafiki zake hapa StPetersburg!Mwili ulisafirishwa kwa maziko huko nyumbani Tanzania.RIP Siza
    Wako KIDUME.

    ReplyDelete
  3. Wadau wa Urusi namtafuta bwana Joseph Kashagili anafanya medicine huko anayemfahamu tafadhali ampe taarifa hii from Mr.Nidze isimikinyi@yahoo.com

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...